Tuna Ballistic Missiles ngapi hadi sasa?

Tuna Ballistic Missiles ngapi hadi sasa?

connections

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
2,775
Reaction score
3,842
Kama mlipa Kodi wa nchi pendwa. Nilitaka kujua mpaka sasa tunamiliki ballistic missiles ngapi ili maadui siku wanatuvamia tunaruka nao

images (52).jpeg
 
Kama mlipa Kodi wa nchi pendwa. Nilitaka kujua mpaka sasa tunamiliki ballistic missiles ngapi ili maadui siku wanatuvamia tunaruka nao
kutoa siri za nguvu ya ufalme wa majeshi yako ni kosa la kimkakati.

ni vizuri kufahamu tu kwamba,
yeyote atakaeleta chokochoko dhidi ya usalama wa mipaka au anga ya Tanazania, tutamfurahisha zaidi ya tulivyomfurahisha nduli idi amini dada mpaka sebuleni kwake 🐒
 
Ballistic missile ziwe za 2000 km ndio tamuuu hizi 50km za nini labda uwe umeingia kabisa ndani ya nchi.....tupende kujilinda na si vita....
 
kutoa siri za nguvu ya ufalme wa majeshi yako ni kosa la kimkakati.

ni vizuri kufahamu tu kwamba,
yeyote atakaeleta chokochoko dhidi ya usalama wa mipaka au anga ya Tanazania, tutamfurahisha zaidi ya tulivyomfurahisha nduli idi amini dada mpaka sebuleni kwake 🐒
Chokochoko mchokoe pweza
 
Kama mlipa Kodi wa nchi pendwa. Nilitaka kujua mpaka sasa tunamiliki ballistic missiles ngapi ili maadui siku wanatuvamia tunaruka nao
KWA mujibu wa CCM, Ngoja nizihesaba;
1. Mahakama
2. Polisi
3. TISS
4. MAGEREZA
 
Back
Top Bottom