Yote uliyosema ni UZUSHI usio na ushahidi mahiri wala wa kudhania! Labda nikupe shule kidogo. Hapo zamani lilikuwapo Pori Tengefu la Burigi - Chato na lilikuwa na anyama kama ilivyo kwa Mapori yote nchini. Kilichofanyika ni kuipandisha hadhi tu na kuwa Mbuga ya Burigi- Chato, hii kazi inafanywa na Wizara husika. Lakini penye ukosefu wa HOJA ndipo unaibuka UZUSHI kama huu wa "mshunami" ambao msingi wake ni Lissu!
Halafu kuhusu uwanja wa ndege wa Chato, ni kuwa kwanza uwanja huo kwa hadhi na gredi za viwanja, unaitwa AIRSTRIP yaani kihadhi ni chini ya AIRPORT! Hiyo shule ya kwanza. Shule ya pili ni kuwa hicho ni kiwanja cha ndege cha mkoa wa Geita, kikiwa hapo Chato. Hakikujengwa Geita wilayani kwa sababu za kisayansi haususan kutokana na uwepo wa dhahabu eneo hilo. Ugomvi hapa ni kuwa kwako wewe ni kuwa CHATO = MAGUFULI! This is wrong!
Kuhusu suala la Lissu kupigwa risasi ni hivi: Lissu alipigwa risasi 16 ZA NDEGE na watu wa CHADEMA kwa nia na lengo la kufanikisha KWENDA kwake Ulaya ili arudi sasa na kujaribu kuiingiza nchi yetu kwenye VURUGU! Ndiyo maana hata matibabu yake mlikataa asitibiwe nchini kwani siri ya hizo risasi za ndege INGEFUMUKA! Huu ni mpango wa muda mrefu sana kati ya mabeberu, CHADEMA na Lissu. Labda nikukumbushe kuwa CHADEMA ndio wenye historia na uzoefu wa kuteka na kuua watu. Unakumbuka habari na kifo cha CHACHA? Unakumbuka kupotea kwa SAATISA? Unakumbuka kifo cha yule dada Msomi? Hili la juzi kule Njombe nadhani hujalisahau!? Huo ni ushahidi wa machache, yapo mengi na tunayajua ila hatutaki kuwapeni faida.