Tumuombe msamaha Chama

kilwakivinje

JF-Expert Member
Jan 4, 2014
6,002
9,091
Sisi wanalunyasi tumuombe msamaha Chama. Nikikumbuka tuliporusha mate mengi kuwapongeza viongozi na kocha kumkataa Chama na kuanza kumsiliba na kumbagaza vibaya kuwa hahitajiki. Na sisi tuliomtetea mkatuona mashabiki wa Yanga.

Lakini ghafla tukarudi kwa speed na kuanza kumpongeza Chama baada ya viongozi kumrudisha nabaki naamini maneno ya Rage kuwa sisi ni mambumbumbu. Kama mashabiki tumekosa msimamo na tunayumbishwa kama mazuzu.

Nawaalika hapa mashabiki wenzangu mambumbumbu tumuombe msamaha chama.
 
Sisi wanalunyasi tumuombe msamaha Chama. Nikikumbuka tuliporusha mate mengi kuwapongeza viongozi na kocha kumkataa Chama na kuanza kumsiliba na kumbagaza vibaya kuwa hahitajiki. Na sisi tuliomtetea mkatuona mashabiki wa Yanga.

Lakini ghafla tukarudi kwa speed na kuanza kumpongeza Chama baada ya viongozi kumrudisha nabaki naamini maneno ya Rage kuwa sisi ni mambumbumbu. Kama mashabiki tumekosa msimamo na tunayumbishwa kama mazuzu.

Nawaalika hapa mashabiki wenzangu mambumbumbu tumuombe msamaha chama.
Mbona Chama alishaisamehe Simba ndio akarudi kambini?

Au na wewe ulidanganyika na zile taarifa Simba yamsamehe Chama?

Simba imo kwenye mfumo wa Chama, Benchika ameshaambiwa maana yeye ndio kiherehere wa kutaka mbadala wa Chama.
 
Sikuwahi kuwa mnafiki juu ya Chama yaani kwa miaka ya hivi karibuni Simba ikicheza bila Chama huwa tunacheza mpira wa papatu papatu na hata ushindi huwa ni wakubahatisha, tukubali tu ya kuwa Chama hana mbadala.
 
Benchika alikuwa hamtaki kabisa Chama akamwundia zengwe la utovu wa nidhamu.
Uongozi wa Simba wakapatwa na kigugumizi kumwachia Chama kwa hofu ya kuchukululiwa na Yanga.

Bila hofu ya Yanga Chama angeisha achwa kwa husda zisizo za msingi za Kocha Benchika.

Kwa kule kuundiwa zengwe kinafki Chama akaanza kuigomea Simba na kushinikiza yaangaliwe maslahi yake ili aweze kuondoka Simba.

Uongozi wa Simba haukuwa na namna nyingine zaidi ya kumwangukia Chama KUMWOMBA radhi ili arudi Simba.

Kwakuwa Chama ni Mchamungu akaona awakubalie kwakuwa ameishi maisha ya kupendwa Simba.

Hivyo Basi ikabidi Benchika akubali kwa shingo upande kurudi kwa Chama.

Na sasa Chama anakuwa nesha yeye ni nani hapo Msimbazi.

Benchika angekuwa sio mnafiki asingekubali usajiri wa Barbakar na Freddy hapo Simba maana uwezo wao ni mdogo sana kama wachezaji wa Nje.

Benchika aliwasajiri haraka eti wawe Mbadala wa Chama.

Nyie Washabiki Uchwala mlio Chonga chonga midomo, ili Chama aondoke na huyo kocha wenu Mnafiki mnatakiwa Kujitathmini
 
Mbona Chama alishaisamehe Simba ndio akarudi kambini?

Au na wewe ulidanganyika na zile taarifa Simba yamsamehe Chama?

Simba imo kwenye mfumo wa Chama, Benchika ameshaambiwa maana yeye ndio kiherehere wa kutaka mbadala wa Chama.
Ameambiwa lini
Aliambiwa wapi
Aliambiwa na kiongozi gani
Ni kutoka chanzo kipi cha habari


Mbumbumbu bhana
 
nyie utopolo acheni unafiki nyinyi ndo mlikuwa mna ombea chama aondoke japo hajafanikiwa....Sisi wana lunyasi wakati wote tunampenda chama na ndio maana karudishwa na tumefurahi kurudi kwake kwa sababu amekuwa ni msaada sana kwa timu yetu...nyie utopolo endeleeni kupambana na ya mayele....utoh mnapenda sana kufuatilia nyendo binafsi za wachezaji na ndio maana ya mayele yanaendelea kuwa pasua kichwa... endeleeni na majini yenu acheni kuizungumzia Simba yetu.
 
Sikuwahi kuwa mnafiki juu ya Chama yaani kwa miaka ya hivi karibuni Simba ikicheza bila Chama huwa tunacheza mpira wa papatu papatu na hata ushindi huwa ni wakubahatisha, tukubali tu ya kuwa Chama hana mbadala.
Mbumbumbu Chama hata cheza milele, pambaneni mote mbadala.
 
Acha ushamba wako soma comment uelewe nilichoandika. Tatizo ninyi mashabiki wa vyura mna uwezo mdogo sana wa uelewa.
Wewe Mbumbumbu unakubali timu yenu bila Chama timu inakufa na hamfanyi namna kupata mbadala mtakuwa na akili kweli?
 
Wewe Mbumbumbu unakubali timu yenu bila Chama timu inakufa na hamfanyi namna kupata mbadala mtakuwa na akili kweli?
Mlichojaliwa utopolo ni ujinga tu na hapa unajidhihirisha ujinga ulionao. Hivi kuna mchezaji huko uto anakiwango cha Chama? Au unarukaruka tu hapa kama chura wa kijani. Au kuna mchezaji hapa Tanzania au EA kwenye nafasi ya kiuongo mshambuliaji anamfikia Chama. Uwe unasoma kilichoandikwa siobunarukia tu nyuzi za watu.
 
Mlichojaliwa utopolo ni ujinga tu na hapa unajidhihirisha ujinga ulionao. Hivi kuna mchezaji huko uto anakiwango cha Chama? Au unarukaruka tu hapa kama chura wa kijani. Au kuna mchezaji hapa Tanzania au EA kwenye nafasi ya kiuongo mshambuliaji anamfikia Chama. Uwe unasoma kilichoandikwa siobunarukia tu nyuzi za watu.
Chama ana rekodi gani za maana kwenye soka letu kushinda wengine?
 
Back
Top Bottom