Pesa sio. Za wastaafu mkuu, hata waliopo makazn hela yao inaingia kwenye mrad wa ujenzViwanda si tumesikia wanajenga mifuko ya jamii pesa za wastaafu
Tha falling EmpireKifupi serikali haina hela..
Nipo mtaa mmoja na wewe. Mtandaoni unaipinga kweli serikali wakati mtaani kwetu unaitwa mfuasi na shabiki namba moja wa Rais Magufuli.Mtaa gani upo mkuu wa Lumumba?
Nipo mtaa mmoja na wewe. Mtandaoni unaipinga kweli serikali wakati mtaani kwetu unaitwa mfuasi na shabiki namba moja wa Rais Magufuli.
Basi sawa. Si unajishaua baada ya kukupa makavu!!View attachment 394162
Huyu ndiye nilikuwa mfuasi wake na mfuasi wangu sasa hivi ni Tanzania
Mama anabusara sana, sema kile kichwa cha jamaa kimejaa roho ya kibur
HaaaahKing charles I alikuwa na mke wa kifaransa anae practise ukatoliki lakin The King mda wote alifikir kulipunguzia kanisa madaraka
Basi sawa. Si unajishaua baada ya kukupa makavu!!
Muosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.Wakuu nilikuwa nawaza tu wale ndugu zetu wanaopita humu walioko karibu na mama yetu.
Mpendwa ,mtulivu ,asiyependa kuonekana mbele ya kamera labda anaweza tusaidi kufikisha kiliochangu!!
Amwambie mkuu yafuatayo aisee.
1: Mtaani hakukaliki ni taharuki mifuko imechomwa na jua.
2: Kauli za mkuu zinaongeza taharuki zaidi anapoongea .
3: Watu wameogopa tayari kujadili kauli zake maana wakikutwa wanaongea na police wanaogopa kuwekwa pingu!!
4: Apunguze hasira huu mchezo hauitaji hasira anaongoza watu zaidi ya milioni 50 na waliomchagua ni milion 8
5: Tunataka mrejesho wa Salary Slip yake na kodi anayolipa kwa sasa ni kiasi gani.
6: Vijana wanasubiri viwanda
7: Vijana wanasubiri ajira mpya mpaka sasa kimya.
Amwambie wazee wako njaa aisee mambo ni magumu mtaani aje na majibu sio vitisho.
'' Niko njaa hata siwezi karanga( Nyama)
Hoe hae shagarabagara ,
Niko tayari kulipa garama Sitosimama maovu yakitawala"
Mwambie asikilize hako ka wimbo kama anaweza kapata katamsaidia kuelewa nini namaanisha!!
Asante najua ujumbe huu utawafikia wote!!
Utakwenda kumsaidia ngumi atakazo kandamizya?.Wakuu nilikuwa nawaza tu wale ndugu zetu wanaopita humu walioko karibu na mama yetu.
Mpendwa ,mtulivu ,asiyependa kuonekana mbele ya kamera labda anaweza tusaidi kufikisha kiliochangu!!
Amwambie mkuu yafuatayo aisee.
1: Mtaani hakukaliki ni taharuki mifuko imechomwa na jua.
2: Kauli za mkuu zinaongeza taharuki zaidi anapoongea .
3: Watu wameogopa tayari kujadili kauli zake maana wakikutwa wanaongea na police wanaogopa kuwekwa pingu!!
4: Apunguze hasira huu mchezo hauitaji hasira anaongoza watu zaidi ya milioni 50 na waliomchagua ni milion 8
5: Tunataka mrejesho wa Salary Slip yake na kodi anayolipa kwa sasa ni kiasi gani.
6: Vijana wanasubiri viwanda
7: Vijana wanasubiri ajira mpya mpaka sasa kimya.
Amwambie wazee wako njaa aisee mambo ni magumu mtaani aje na majibu sio vitisho.
'' Niko njaa hata siwezi karanga( Nyama)
Hoe hae shagarabagara ,
Niko tayari kulipa garama Sitosimama maovu yakitawala"
Mwambie asikilize hako ka wimbo kama anaweza kapata katamsaidia kuelewa nini namaanisha!!
Asante najua ujumbe huu utawafikia wote!!
Teh teeh teeeh kila.za bwana kwa taarifa yako kipato changu ni cha kutosha sana lakini nawasemea wanyongeMuosha miguu ya Mafisadi kama wewe lzm njaa ikupige kweli kweli.
Mafisadi na wakwepa kodi wa billicanas hawana pa kutokea awamu hii
Kwi kwi kwi...... mkuu ubavu huwa una njia nyingi za kufikisha msg..... acha mama mpendwa atusaidie....
mkuu ana mbavu nyingi
"sio mtu wa mchezo mchezo "labda yule tuliye mpa nyumba za **** anaweza akawa na ushawishi zaidi