PreGE2025 Tumsikilize Nabii Rolinga, Serikali chini ya CCM mjitafakari

PreGE2025 Tumsikilize Nabii Rolinga, Serikali chini ya CCM mjitafakari

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
5,033
Reaction score
11,655
Nilimuuliza moja ya Shabiki wa CCM, kama njia inayotumika kwa sasa na Chadema kudai reform na haki inaitwa ni njia ya kuvuruga amani, je ni njia gani nyingine Chadema iitumie kudai reform na haki ili jeshi la polisi lisiingililie, na wala isionekane lengo ni kuvuruga amani ? Sikuwahi kupata jibu.

Je kudai Reform na Haki ya Uchaguzi ni kuota mikia na kuvuruga amani?
Jeshi la Polisi ni mali ya CCM au ni mali ya Wananchi ?
-
Nina heshima kubwa sana na Christian Society, However I am not Christian! TEC ndio the only society waliomuita JPM chemba na kumuambia John, utamaliza wananchi…. hizi sio Sifa za John , ACHA!

Dr Megalodon Ndesaruo Mushi
Canada


 
Nilimuuliza moja ya Shabiki wa CCM, kama njia inayotumika kwa sasa na Chadema kudai reform na haki inaitwa ni njia ya kuvuruga amani, je ni njia gani nyingine Chadema iitumie kudai reform na haki ili jeshi la polisi lisiingililie, na wala isionekane lengo ni kuvuruga amani ? Sikuwahi kupata jibu.

Ni njia gani hiyo ambayo CCM na Rais wao na jeshi lao watafunga midomo ili chadema iendelee kufanya mobilization kwa wananchi juu ya umuhimu wa reform ? Bila ya kuambiwa mmeanza kuota mikia ? Kama ipo isemeni.

Nina heshima kubwa sana na Christian Society, However I am not Christian! TEC ndio the only society waliomuita JPM chemba na kumuambia John, utamaliza wananchi…. hizi sio Sifa za John , ACHA!


Dr Megalodon Ndesaruo Mushi
Canada
Watumishi wa Bwana wafanye kazi pamoja na Bwana.

Amina
 
Nilimuuliza moja ya Shabiki wa CCM, kama njia inayotumika kwa sasa na Chadema kudai reform na haki inaitwa ni njia ya kuvuruga amani, je ni njia gani nyingine Chadema iitumie kudai reform na haki ili jeshi la polisi lisiingililie, na wala isionekane lengo ni kuvuruga amani ? Sikuwahi kupata jibu.

Ni njia gani hiyo ambayo CCM na Rais wao na jeshi lao watafunga midomo ili chadema iendelee kufanya mobilization kwa wananchi juu ya umuhimu wa reform ? Bila ya kuambiwa mmeanza kuota mikia ? Kama ipo isemeni.

Nina heshima kubwa sana na Christian Society, However I am not Christian! TEC ndio the only society waliomuita JPM chemba na kumuambia John, utamaliza wananchi…. hizi sio Sifa za John , ACHA!


Dr Megalodon Ndesaruo Mushi
Canada
Washupaze shingo Tena kina tlaahtlaah na nduguyo mwashambwa!
 
Hawa jamaa kipindi cha Magu walikuwa wapi,?
 
Wenye akili mfu watasema ni mdini na kwamba mbona regime za wanaofanana nae imani huwa hayasemi hayo
 
Back
Top Bottom