M-bongotz
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,736
- 411
amfanyeje huyu mtoto?
"mimi ninaishi na mtoto wa wifi yangu. Ana miaka 13 sasa. Bahati mbaya sana mama yake alifariki akahamia kwa mama mkubwa nae akafariki akarudi kwa bibi mi nikaona niishi nae. Mimi sijajaliwa mtoto. Huyu ni mtoto wa kiume na nimeishi nae toka yuko na miaka kama saba hivi. Ilibidi nimrudishe madarasa kutokana kuwa alikuwa nyuma sana kielimu kwasababu alikuwa kijijini. Kwa sasa hivi yuko grade 6 na anaendlea vizuri sana academically. Huwa muda mwingi tuko kazini na yeye shuleni so kama watoto wengi wa mjini tunapata muda mfupi kuwa nae labda wakati wa weekend. Problem yangu ni kuwa, huyu mtoto nashindwa nimuweke kwenye category gani kwasababu ni mtoto ambae kwanza haongei sana huwezi ukamuelewa anataka nini, hapendi kufanya chochote anachotaka yeye ndicho kiwe na he makes his point by crying. Mwanzo tulikuwa tunambembeleza tunamuacha na tulimchukulia kuwa he had a difficult life, lakini siku zinavyokwenda tunaona kuwa anaharibika kwasababu bila mtoto kukemewa kidogo (of course reasonably) au kuwa responsible atapata taabu huko mbele. Tatizo jingine ni muongo na wakija wa kwao huko anajilegeza mpaka unasijisikia vibaya. Mjomba wake (mume wangu) huwa sometimes anampiga mi naogopa kwasababu anaweza kumuumiza ila ni kweli anakera sana. Wafanyakazi wakimwita wakimuuliza kitu anaweza asijibu akaondoka tu au akatoa jibu moja tu likakuacha mdomo wazi…najua anaelekea kwenye age ya utineja but sasa mimi huo ukimya wake unanitisha huwezi kujudge from expression hafurahii kitu, hachangamki yaani kwa kifupi hana emotion. Ukimgombeza unaona anakunja na kukunjua ngumi hajibu, je huyu mtoto akikua zaidi si anaweza kuumiza, especially kwasababu he is brilliant and good with gadgets he can grow to be something terrible….nielekezeni jamani nifanyeje?"
"mimi ninaishi na mtoto wa wifi yangu. Ana miaka 13 sasa. Bahati mbaya sana mama yake alifariki akahamia kwa mama mkubwa nae akafariki akarudi kwa bibi mi nikaona niishi nae. Mimi sijajaliwa mtoto. Huyu ni mtoto wa kiume na nimeishi nae toka yuko na miaka kama saba hivi. Ilibidi nimrudishe madarasa kutokana kuwa alikuwa nyuma sana kielimu kwasababu alikuwa kijijini. Kwa sasa hivi yuko grade 6 na anaendlea vizuri sana academically. Huwa muda mwingi tuko kazini na yeye shuleni so kama watoto wengi wa mjini tunapata muda mfupi kuwa nae labda wakati wa weekend. Problem yangu ni kuwa, huyu mtoto nashindwa nimuweke kwenye category gani kwasababu ni mtoto ambae kwanza haongei sana huwezi ukamuelewa anataka nini, hapendi kufanya chochote anachotaka yeye ndicho kiwe na he makes his point by crying. Mwanzo tulikuwa tunambembeleza tunamuacha na tulimchukulia kuwa he had a difficult life, lakini siku zinavyokwenda tunaona kuwa anaharibika kwasababu bila mtoto kukemewa kidogo (of course reasonably) au kuwa responsible atapata taabu huko mbele. Tatizo jingine ni muongo na wakija wa kwao huko anajilegeza mpaka unasijisikia vibaya. Mjomba wake (mume wangu) huwa sometimes anampiga mi naogopa kwasababu anaweza kumuumiza ila ni kweli anakera sana. Wafanyakazi wakimwita wakimuuliza kitu anaweza asijibu akaondoka tu au akatoa jibu moja tu likakuacha mdomo wazi…najua anaelekea kwenye age ya utineja but sasa mimi huo ukimya wake unanitisha huwezi kujudge from expression hafurahii kitu, hachangamki yaani kwa kifupi hana emotion. Ukimgombeza unaona anakunja na kukunjua ngumi hajibu, je huyu mtoto akikua zaidi si anaweza kuumiza, especially kwasababu he is brilliant and good with gadgets he can grow to be something terrible….nielekezeni jamani nifanyeje?"