Halo jf! kuna mdogo wetu amemalza 4m 4 na ana D tatu (History, Geography na Kiswahili) masomo mengine ana F. naomba kufahamu kama kuna colleges ambazo anaweza kuqualify kufanya course za certificates coz dogo hataki kure-sit. Msaada wenu katika hili plz, natanguliza Asante