Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello wana JF,
Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.
Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...
Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,
Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,
Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?
Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.
Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.
SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.
Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...
Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,
Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,
Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?
Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.
Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.
SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.