Tumsaidie Rais Samia

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli? kuwa Rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine.

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

Iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

Hao Mawaziri na Wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

Halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana?

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao.

Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE.
 
Tulieni nyie, nchi ipo salama
20210909_221827.jpg
 
Kama yanayosemwa ni kweli kwanini yuko kimya? Kwanini huu uovu unaruhusiwa kuendelea? Kama kazi haiwezi basi AJIUZULU!
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urai kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
 
Ugomvi kati ya watu wa ikulu wa aliyekufa ukasababisha Mabeyo na Sirro wakutane na kujadili nini cha kufanya ila sasa Waliposhindwa kukubaliana wakapewa timeline ya kukubaliana au Mzee ashike nchi hadi watakapokubaliana ila sasa sasa sasa Bashiru eti ndo alitaka ashike nchi haikuwaingia akilini kabisaaa sasa akataka ajichomeke siandiki pengine Yule mwamudi wa Upanga anapita pita pande hizi
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urai kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
It's been awhile sijasikia mawazo chanya namna hii!!!.. Hongera
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urai kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
Katiba, katiba ifuatwe, tatizo yeye amekua akisimamia uvunjivu wa katiba sisi hatuna namna ya kumsaidia zaidi ya yeye na watendaji wake kuhakikisha katiba inawaongoza na si vinginevyo, yanayoendelea ni matokeo ya uvunjifu wa katiba ambayo wameyanyamazia akiwemo yeye mwenyewe na sasa yanamtafuna kwenye nafasi yake kama Rais
 
Katiba, katiba ifuatwe, tatizo yeye amekua akisimamia uvunjivu wa katiba sisi hatuna namna ya kumsaidia zaidi ya yeye na watendaji wake kuhakikisha katiba inawaongoza na si vinginevyo, yanayoendelea ni matokeo ya uvunjifu wa katiba ambayo wameyanyamazia akiwemo yeye mwenyewe na sasa yanamtafuna kwenye nafasi yake kama Rais

Mkuu yupo hapo mpaka 2025, tumsaidie pale penye mapungufu..tukisusa ni sisi ndio tunaumia zaidi...
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
Rebecca samahani wewe ni demu au man? Rais ni mmoja kama hatoshi aambiwe ajirekebishe ama apishe!! Katiba ishaeleza muundo wa uongozi hicho kikundi chako cha big 5 hakiko kikatiba
 
Mkuu yupo hapo mpaka 2025, tumsaidie pale penye mapungufu..tukisusa ni sisi ndio tunaumia zaidi...
My dear, yeye na mamlaka yote hayo aliyopewa na katiba, mamlaka yanayomwezesha kuuza hata mkoa wowote wa tanzania ameshindwa kujisaidia, yaani kutoa tu hata neno la mamlaka la kuwapotezea mbali wale wanaomkwamisha, sisi tutamsaidiaje, kimawazo? Any idea from you? Kivitendo? What should we do? Tuandamane kushinikiza? Polisi watatupiga kama mbwa koko, umesema iundwe tume au jopo, nani ataunda? Kwa mamlaka yapi?

Na je Katiba yetu inasemaje kuhusu majukumu ya Rais, tunaweza kutengua viipengele vya katiba? Hao waliokiuka katiba na kubadilisha majukumu ya Rais, wana mamlaka gani? Ni wakina nani, na wamefanya hivyo kwa nini? Nani yupo nyuma yao? Ni jeshi? TISS? What is the hiden agenda behind all that?
 
Hello wana JF,

Sijui kama yaliyosemwa na Lissu kuhusu Rais wetu ni kweli??? kuwa rais wetu yupo kama kivuli wanaoishikilia nchi ni wengine...

Binafsi ningependa kushauri kama ni kweli, Structure/ muundo na majukumu ya anayehodhi kiti cha Urais kunahitaji mabadiliko...

iundwe kikundi cha watu wenye elimu tofauti,uzoefu tofauti, wao ndio waongoze nchi, wasiozidi watano,

hao mawaziri wabunge hawakupatikana kihalali wanajali zaidi interests zao, wanampeleka mama shimoni,

halafu ni wengi mno, wanapata wapi muda hata wa kusikilizana ??.....

Akiunda hii independent body kama watu 5 muwe wawe wanakutana private away from bunge/baraza la mawaziri na influences zao....

..Ataona confidence yake inapanda sababu mko close na una muda wa kuwasikiliza na kuweka mikakati, follow up ya hio mikakati...ni idea tu wakuu.....

SiJASEMA BUNGE/BARAZA LA MAWAZIRI LIVUNJWE...
Ili Ndugu zenu wateuliwe kuwa mawaziri?, pathetic,mama anaupiga mwingi mno tulieni
 
Mawazo na ajenda za ChADeMa...etu mama Samia kawekwa kivuli! Kisa Mbowe!
Si aliwaambia hataki Siasa za fujo?
Anajifanya mbishi eti kwa kuwa Rais mwanamke!

Katiba inamtambua yeye ndiye Rais..ushauri wako hauingii akilini na ni wa hovyo. Kinyume na katiba

Alafu huyo mpuuzi anadai Mama yuko hostage' wakati yeye ndiye refugee. Akija kukamatwa kwa kutoa taarifa za uongo na kusabisha taharuki yeye na wenzake watadai Mama Samia dikteta anakamata wapinzani!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom