mtoto mpole
JF-Expert Member
- Mar 22, 2010
- 678
- 148
kuna binti mmoja ana mpenzi wake anampenda kwa dhati na kujitaidi kumfanyia kila lililo ndani ya uwezo wake... na wana mipango mingi na endelevu ndani ya mahusiano yao..sasa basi kuna siku moja huyu binti alipatwa na matatizo akalala nje ya nyumba yao bila kukusudia na mpenzi wake alijua hili na ndo alikua msaada mkubwa saanaa kwa mpenzi wake(huyo binti)....sasa baba wa huyo binti ni mkali usipime ilivotokea hiyo situation ya binti kulala nje ya nyumba alikasirika sana kiasi cha kumuadhibu kama mzazi kumbe haikuishia hapo mzazi akawa anataka mtoto wake aende akasome india mwezi wa tisa akachukue masters ambayo atakaa huko miaka 3...huyo binti akaamua amshirikishe mpenzi wake ila mpenzi wake akawa hataki binti aende kwasababu anampenda sana na anamalengo nae sana tuu..akamwambia bora uapply hapa tz na atamlipia ada na kila kitu.. binti akaliwasilisha hilo kwa mzazi wake kwamba anapenda kusoma TZ na ada atajilipia sasa baba yake akawa hataki coz hana uhakika na tabia ya mwanaye ya hivi karibuni wala uhakika wa binti kujilipia ada anadai bora amtenganishe na marafiki zake aliokua nao coz hawaamini sana ili akaanze moja huko india.....huyu binti anaumia sana hataki kumuacha mpenzi wake sababu mpenzi wake alisema haezi msubiri for three years anything can happen.....huyu binti hayupo tayari kumpoteza mpenzi wake..afanyeje kumridhisha baba yake ili akubali yeye kubakia TZ??? NAWASILISHA KWENU WADAU....MWISHO