Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Nadhanu wa tz hatuna budi kumpongeza Utawala wa JK kwa kutupatia uhuru wa kusema, kujadili na kuamua hatma ya nchi yet. nadhani na tukubali kwamba sasa tz imetoka kwenye utawala uliokuwa kila kitu kwao mwiko, sasa bunge letu limeimarika Kihoja, Vyombo vya habari nusu ya uhuru na sio robo ya robo ya awamu ya 3, Taasisi za Dini nazo zinasema, kwakweli naweza kusema ukombozi mpya (Uhuru mpya wa TZ baada ya ule 1961 )
Jee kama Jk angalikuwa kama utawala uliopita haya yote ya Richmond na mengine tungaliyajua?
Jee kama Jk angalikuwa kama utawala uliopita haya yote ya Richmond na mengine tungaliyajua?