radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,253
Neema Mwita Wambura alimwagiwa maji moto na Mume wake baada tu ya mume huyo kukasirika kwasababu Neema alichuma Mahindi mabichi na kuyapika bila kibali cha mumewe na baada ya hapo majeraha yamekua yakimsumbua…
Baada ya Rais Magufuli kumuona amefanya maamuzi ya kumpigia simu pamoja na kumuahidi matibabu pia kaahidi kusidaia familia ya mama huyo pindi atakapo kuwa kwenye matibabu.
Kishamsaidia pesa za matibabu na kiasi kingine kimepelekwa kuhudumia watoto wa huyo mama huo ni moyo wa kibinadamu kuguswa na mambo kama hayo hasa wanyonge wanapohangaika nampongeza sna mheshimiwa.
Baada ya Rais Magufuli kumuona amefanya maamuzi ya kumpigia simu pamoja na kumuahidi matibabu pia kaahidi kusidaia familia ya mama huyo pindi atakapo kuwa kwenye matibabu.
Kishamsaidia pesa za matibabu na kiasi kingine kimepelekwa kuhudumia watoto wa huyo mama huo ni moyo wa kibinadamu kuguswa na mambo kama hayo hasa wanyonge wanapohangaika nampongeza sna mheshimiwa.