eddy brown
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 414
- 310
Kweli Manara mna kikosi kipana,lakini mbona hampati matokeo mazuri?mfano Manula kesha bugia mikono miwili hivi bado tu mtampanga tena hio tarehe 12,na mkifanya hivyo maana ya kikosi kipana ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app