MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
Nape Nnauye ni mwasiasa kijana, hakuna atakayepinga kuwa Nape amesaidiwa sana na mzee JK mpaka kufika hapo alipo, sasa tumkumbushe mapito yake
■Nape alikuwa pale makao makuu ya UVCCM, Lowassa alipotenguliwa Nape alikuwa mstari wa mbele kumtukana Lowassa
■Baada ya matusi kuzidi mzee Makamba akiwa katibu mkuu wa CCM akamtimua Nape UVCCM na kumvua uanachama, na kumwambia huwezi kukata tawi la mti ulilokalia na ukabaki salama, ikatokea maneno maneno meeeengi kuwa nape sio mtoto wa mzee Nnauye, kuna mama mmoja akajitokeza na kusema Nape siyo mtoto wa mzee Nnauye n.k.
■Wazee wakongwe wa CCM kama mzee msuya wakapinga kuwa huo sio utaratibu wa CCM wa mtu mmoja kuwavua wanachama uanachama wa CCM, kuna vikao vyenye mamlaka hayo
■Mzee JK na wazee wengine wakamrudishia uanachama wake Nape
■Mzee JK akamteua Nape kuwa mkuu wa wilaya, sikumbuki wilaya gani
■Kwa kuwa mzee JK alikuwa anataka kumlea vizuri nape, akampa ukatibu mwenezi CCM
■Mzee JK hakuchoka, akamshauri nape kugombea ubunge na akamsimamia mpaka akawa mbunge, mpaka akapata na uwaziri
Baada ya mzee wa watu kurudi Msoga kupumzika, Nape si akasahau malezi yote mazuri ya mzee JK, akarudia tena urafiki na mzee Makamba, sasa kuna clip Nape anaongea na mzee Makamba anasema nyie wazee wetu mmefanya kazi kubwa ya kutuzaa tunashukuru tutaifanya hii kazi vizuri, amesahau yooooote yaliyompata
Wakuu naomba tuendelee kumkumbusha na kumshauri nape
■Nape alikuwa pale makao makuu ya UVCCM, Lowassa alipotenguliwa Nape alikuwa mstari wa mbele kumtukana Lowassa
■Baada ya matusi kuzidi mzee Makamba akiwa katibu mkuu wa CCM akamtimua Nape UVCCM na kumvua uanachama, na kumwambia huwezi kukata tawi la mti ulilokalia na ukabaki salama, ikatokea maneno maneno meeeengi kuwa nape sio mtoto wa mzee Nnauye, kuna mama mmoja akajitokeza na kusema Nape siyo mtoto wa mzee Nnauye n.k.
■Wazee wakongwe wa CCM kama mzee msuya wakapinga kuwa huo sio utaratibu wa CCM wa mtu mmoja kuwavua wanachama uanachama wa CCM, kuna vikao vyenye mamlaka hayo
■Mzee JK na wazee wengine wakamrudishia uanachama wake Nape
■Mzee JK akamteua Nape kuwa mkuu wa wilaya, sikumbuki wilaya gani
■Kwa kuwa mzee JK alikuwa anataka kumlea vizuri nape, akampa ukatibu mwenezi CCM
■Mzee JK hakuchoka, akamshauri nape kugombea ubunge na akamsimamia mpaka akawa mbunge, mpaka akapata na uwaziri
Baada ya mzee wa watu kurudi Msoga kupumzika, Nape si akasahau malezi yote mazuri ya mzee JK, akarudia tena urafiki na mzee Makamba, sasa kuna clip Nape anaongea na mzee Makamba anasema nyie wazee wetu mmefanya kazi kubwa ya kutuzaa tunashukuru tutaifanya hii kazi vizuri, amesahau yooooote yaliyompata
Wakuu naomba tuendelee kumkumbusha na kumshauri nape