Tumkumbushe Mchungaji mtume Mwingira

Tumkumbushe Mchungaji mtume Mwingira

Jamaa yao miaka yote mitano alikuwa ni kama anaishi kwenye madhabahu za kila kanisa huku akisisitiza ''mniombee'' na kujifanya mnyenyekevu kupita hata malaika kumbe ndani ya moyo wake amejaa roho ya uuaji na ukatili. Watokemee mbali Masadukayo wakubwa hawa.
Huyu Meko hata maneno yake tu yanamkataa kwamba ni mnyeyekevu,tangu lini mwanadamu akatamani kuwa kiongozi wa Malaika mbinguni,si kujitafutia laana tu
 
Wiki hii kumekuwa na video ambayo inazunguka ikimuonyesha Mchungaji MWINGIRA (mpakwa mafuta) akiwa kanisani akihubiri Waumini wake. Kipande nilichofanikiwa kukiona ni kile ambacho Baba Mchungaji MWINGIRA anahusishanisha upigwaji wa Risasi Lisu na mchakato tunaouendea wa Uchaguzi. "Lisu hajajenga flyover lakini watu wanamfuata" Pastor MWINGIRA..
Sawa kabisa usemayo. Kwenye madhabahu si mahali pa kuzungumzia siasa kwa sababu waumini wanatoka pande tofauti za kisiasa ingawa kiimani wako pamoja. Mchungaji ana uhuru wa kumpenda mgombea fulani na ni haki yake ampigie kura mtu huyo. Lakini asimshabikie kwenye madhabahu kwa kuwa waumini wengine wanatofautiana naye kisiasa.

Hili ndilo kosa analofanya pia Askofu Bangoza. Mtu chagua kuwa mwanasiasa au kuwa mchungaji. Ukichagua siasa, hapo ndiyo una haki ya kumpigia debe unayempenda.

Lakini kama unachagua uchungaji, mapenzi yako kwa mgombea fulani yabakie moyoni mwako tu na si kuwashawishi wengine. Siku ya kura utatekeleza mapenzi yako bila watu wengine kufahamu umempigia nani.
 
Elius W Ndabila,
Nashaanga wizara ya mambo ya ndani haijamfungia kanisa lake huyu aliyevamiwa na shetani na kutaka kuligawa taifa.Au mnasubiri mtumbuliwe?
 
Mbona watumishi wengine wanamsifia Magu..Mwingira kumsifia Lissu imekuwa nongwa
 
Kwa hiyo Mwingira anataka abaki na waumini wafuasi wa chadema tu ? Wa CCM hawataki?

Wana CCM mnaosali kwa Mwingira mwachieni kanisa lake katafuteni Makanisa mengine waachieni Chadema

Kama ni hivyo waislam walio chini ya bakwata ambao ni upinzani wataondoka wote mtasali ccm tupu haha
 
Nashaanga wizara ya mambo ya ndani haijamfungia kanisa lake huyu aliyevamiwa na shetani na kutaka kuligawa taifa.Au mnasubiri mtumbuliwe ???

Kwa vile kasema Lisu ni shujaa anagawa taifa, anaesema magu akaletwa na mungu na ni mpango wa mungu Hao ni wazalendo
 
Sawa kabisa usemayo. Kwenye madhabahu si mahali pa kuzungumzia siasa kwa sababu waumini wanatoka pande tofauti za kisiasa ingawa kiimani wako pamoja. Mchungaji ana uhuru wa kumpenda mgombea fulani na ni haki yake ampigie kura mtu huyo. Lakini asimshabikie kwenye madhabahu kwa kuwa waumini wengine wanatofautiana naye kisiasa. Hili ndilo kosa analofanya pia Askofu Bangoza. Mtu chagua kuwa mwanasiasa au kuwa mchungaji. Ukichagua siasa, hapo ndiyo una haki ya kumpigia debe unayempenda. Lakini kama unachagua uchungaji, mapenzi yako kwa mgombea fulani yabakie moyoni mwako tu na si kuwashawishi wengine. Siku ya kura utatekeleza mapenzi yako bila watu wengine kufahamu umempigia nani.

..haya mambo yalianza taratibu ktk shughuli za serikali ambapo salamu rasmi zimekuwa ni "..asarama-reko..." na "..bwana yesu asifiwe..."

..hali hii haiwezi kurekebishwa katikati ya kampeni za uchaguzi mkuu. tusubiri uchaguzi uishe na tukibahatika kupata viongozi wenye busara wataweza kuwatenganisha viongozi wa Dini na wanasiasa.
 
NIMKUMBUSHE MCHUNGAJI MWINGIRA.

Wiki hii kumekuwa na video ambayo inazunguka ikimuonyesha Mchungaji MWINGIRA (mpakwa mafuta) akiwa kanisani akihubiri Waumini wake. Kipande nilichofanikiwa kukiona ni kile ambacho Baba Mchungaji MWINGIRA anahusishanisha upigwaji wa Risasi Lisu na mchakato tunaouendea wa Uchaguzi. "Lisu hajajenga flyover lakini watu wanamfuata" Pastor MWINGIRA...
Waumini wa Mwingira wanaona kaoteshwa Lisu ndiye rais, huwezi waambia kitu. Hata enzi za JK aliwaambia JK asingemaliza miaka 5 ya awamu ya pili.
 
Wiki hii kumekuwa na video ambayo inazunguka ikimuonyesha Mchungaji MWINGIRA (mpakwa mafuta) akiwa kanisani akihubiri Waumini wake. Kipande nilichofanikiwa kukiona ni kile ambacho Baba Mchungaji MWINGIRA anahusishanisha upigwaji wa Risasi Lisu na mchakato tunaouendea wa Uchaguzi. "Lisu hajajenga flyover lakini watu wanamfuata" Pastor MWINGIRA...
Ndg Elius Ndabila, Elewa kwamba Tundu Lissu hajagombea uraisi Eti kwa sababu tu alipigwa risasi, Hapana! Hata asingepigwa
 
Anachaguliwa sababu ya sera zake na si kwa sababu ya risasi, pili hao waliopigwa risasi si kwa ajili ya siasa
 
Wiki hii kumekuwa na video ambayo inazunguka ikimuonyesha Mchungaji MWINGIRA (mpakwa mafuta) akiwa kanisani akihubiri Waumini wake. Kipande nilichofanikiwa kukiona ni kile ambacho Baba Mchungaji MWINGIRA anahusishanisha upigwaji wa Risasi Lisu na mchakato tunaouendea wa Uchaguzi. "Lisu hajajenga flyover lakini watu wanamfuata" Pastor MWINGIRA...
Uhakika ni kuwa, hata asingepigwa risasi angegombea tuu! Kwani mmewahi kusikia akiomba kura kwa sababu alipigwa risasi??

Bwana Elius, tumia Akili yako hiyo kufikiri nje ya box, naamini hutakuwa na cha kupoteza. Lissu alijiandaa miaka mingi!
 
Wiki hii kumekuwa na video ambayo inazunguka ikimuonyesha Mchungaji MWINGIRA (mpakwa mafuta) akiwa kanisani akihubiri Waumini wake. Kipande nilichofanikiwa kukiona ni kile ambacho Baba Mchungaji MWINGIRA anahusishanisha upigwaji wa Risasi Lisu na mchakato tunaouendea wa Uchaguzi. "Lisu hajajenga flyover lakini watu wanamfuata" Pastor MWINGIRA...
Ukiona umeandika makala ndefuuu, ikapita saa ya kwanza, pili, tatu, nne hadi tano hujapata like hata nusu ujue ni sawa na umeharisha hadharani. Ujengaji wako wa hoja, hata mtoto wangu aliyeko darasa la saba humkaribii. Katika hoja yako unalinganisha na hoja ya Wasira kuwa kupigwa risasi siyo sifa ya kuwa mgombea urais halafu ukakiri hapo hapo kuwa wapo wengi waliopigwa risasi lakini wala hawakutamani kuomba kugombea urais. Sasa kwa akili yako unamlinganishaje aliyeomba na ambaye hakugombea? Je wangegombea unajuaje kama wasingeng'ara kama anavyong'ara Lissu?

JF imekuwa kama kokoro, inakusanya magugu maji, samaki na hata hunasa kobe pia. Mwingira sasa mnasema mnajua hata maovu yake ambayo hamkuyasema hadi leo alipowatia kidole. Huo ni unafiki na uzandiki wa hali ya juu sana.

Mtumishi wa Mungu hawezi kuona upuuzi akaunyamazia. Lazima aseme, na akisema wamuache. Je angekuwa amemsifia Magufuli ungeleta unafiki wako hapa?

Namba ya simu umeweka ili iweje? Watu wengine mnajichoresha sana. Hakuna kiongozi mwenye akili timamu atakuteua wewe.
 
Back
Top Bottom