Tumkodi Mkurugenzi TBL kuiendesha TANESCO

Tumkodi Mkurugenzi TBL kuiendesha TANESCO

Tanesco ni sehemu ya ccm kupigia dili zao....huu mgao watu wanapiga hela za kutosha
 
Duuuuuu sipati picha bokela akiwa pale. Angemtia jamba jamba jadi jk. Huyu bossi wa tbl ni shidaaaaaa. Hana masihara kazini

Bokela sio mkurugenzi wa TBL ni head wa sales (D.M) kanda 1 kati ya kanda 4
 
Kama serikali haijajitoa mhanga kuzindua mradi mkubwa wa kuzalisha umeme hakuna kitakachobadilika hata apewe nani. Serikali inatakiwa kuhakikisha tuna vyanzo vya uhakika vya umeme zaidi kidogo ya mahitaji ya nchi. Baada ya hapo sasa ndio tuwalaumu TANESCO kwani wao ni waendeshaji tu. Kama mwekezaji ameanzisha kiwanda halafu hajamwaga mpunga wa kununua mashine za uhakika za uzalishaji, kutakuwa na uzalishaji? Umeme haupo! TANESCO watautoa wapi?
 
Rais ajaye akitaka twendwe sawa,ni kupiga marufuku matumizi ya jenereta kwenye nyumba za serekali,kuitia kwenye mgao mitaa wanayoish vigogo hiyo itatatusaidia kulipatia dawa tatizo la mgao wa umeme,kwani umeme ukikatika kule bungeni wakat bunge likiendelea na jenereta lisipowaka itarahisisha hii swala kushughulikiwa.
 
Back
Top Bottom