TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

TUMIA Whatsapp na Instagram kwenye Computer yako

c2c

New Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
3
Reaction score
2
Installing whatsapp on your desktop/laptop is it possible guys to do that!!?

======
Baadhi ya watu tumekua tukihitaji kutumia baadhi ya application kama whatsapp na instagram kwenye pc zetu kutokana na sababu tofauti,, pengine cm haisuport, au sim imeharibika kwa muda au pengine tunapenda tu...

So ifuatayo ni program ambayo unaweza ukafanya yote hayo kwenye pc yako,, yaan app zote za android unaweza kuzipata na kutumia kwenye pc yako....



View attachment 114383

Hivi ndivyo inavyoonekana ,,, kuna sehem ya kusearch hapo juu ambapo unaweza kusearch any applichation and install.... lazima uwe na modem,, n hata wakt wakuinstall lazima uconnect na internet....

Hapo ukishainstall whatsapp process nyingne za kawaida km kweny cm tu....enjoy instagram na whatsapp ht kama hauna cm...

=====
Download App inaitwa Bluestack Kutoka hapa Run Mobile Apps on Windows PC or Mac with BlueStacks | Android App Player then Run Hyo app so Utakua na Access na Playstore so utaweza Kudownload App zote Ikiwemo Whatsapp Instagram, viber, tango, na nyingineee tu.

ila Hyo App Ni ina Mb 8 tu ila inahtaji Specs kubwaaa kwanza Ram Lazma Iwe 2gb Pia Graphic accelerator lazma ziwe Updated&[HASHTAG]#8230[/HASHTAG]; So Kabla Ya Kudownload Na Kuinstall Fix Hzo kwanzaaa

Ukisha insall bluestack, ingia kwenye google play install go launcher ex, itaifanya hiyo bluestack iwe na mwonekano mzur wa android kama za cm, bt kunakua hakuna mwingiliano wwte kati ya pc na bluestack mfano ukitaka kutuma picha kwa kutumia watsapp na kama hiyo picha imo kwenye pc, inatakiwa ui install dropbox kwenye pc yako.

Kumbuka, youwave ni yakulipia (Ingawa unaweza kuichakachuwa) ila bluestack ni ya bure, isipokuwa ina ishu za ram, vga drivers etc ndo maana siipendi.
 
je mimi natumia ubuntu itakuaje na nina taka hizo whattttttsapp na viber kwa sana na sina windows microsoft kwenye hii computer yanguu ina os moja tuuuu
 
Bandugu kuna mwny direct link ya kudownload whatsapp for Pc anisaidie? mi nimetafta bt nimeshndwa
hyo android emulator inakuwaje na naipataje?
kamata hii hapa 'Bluestacks' utaweza kupata Android apps kwenye PC yako ikiwemo whatsapp, viber, etc,,,,
 

Attachments

so baada ya kuiextract na kuinstall, what next??? by the way tanx, brakelyn
 
ngoja na mm miingie mzigoni mana na mm pia ni kiu yangu sana ila nilishindwa kufunguka
 
ningekuwa na penda kuchat ningeidownload ngoja niangalie chimbo kama bado ipo..
 
Utakapo nunua simu, nunua ambayo ni android, mostly ni sony, ericsom au samsumg, au yenye symbian ambayo ni nokia au window phone nayo ni nokia au LG, halafu ingia kwenye internet na utafute whatsApp, then down load.
 
tatizo wakati nainstall imeanza kudownload na inachukua muda mrefu sana kumaliza, yan mpaka nikaikata,
 
tatizo wakati nainstall imeanza kudownload na inachukua muda mrefu sana kumaliza, yan mpaka nikaikata,

setup ina mb 100 jaribu kugoogle bluestack offline installer kama hupendelei online installer
 
ni bora kama hyo ipo na inapga mzgo kama kawa coz utaidownload na IDM ikimaliza unajua kaz imekwsha kuliko ile ya online ikifka labda 50% net ikizingua 2 unaanza upya
 
nimeshaidownload bt nikiistall inaniambia latest version ya bluestacks tayari imeshakuwa installed, nieshadelete kila kitu mpaka kwenye regist bt wap
 
nimeshaidownload bt nikiistall inaniambia latest version ya bluestacks tayari imeshakuwa installed, nieshadelete kila kitu mpaka kwenye regist bt wap
vumilia kwa kuintall online mm nimeitumia ile ile niliopewa hapo juu na tayari naitumia
 

Attachments

  • skrn1.jpg
    skrn1.jpg
    111.6 KB · Views: 245
kamata hii hapa 'Bluestacks' utaweza kupata Android apps kwenye PC yako ikiwemo whatsapp, viber, etc,,,,

tatizo hii blue stack kama una graphics card za hovyo ambayo haisupport OpenGL hautaweza kuinstall na inakula graphics memory ile mbaya.
 
tatizo hii blue stack kama una graphics card za hovyo ambayo haisupport OpenGL hautaweza kuinstall na inakula graphics memory ile mbaya.

kipindi cha nyuma kidogo mwenyewe nilikua nai-dowload inafika nusu ina-stack.. mkuu, kumbe ni graphics card ndio tatizo eh?
 
Back
Top Bottom