Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Habari wana JF,
Leo tupeane maarifa! Ni kwa wale tu wafanya biashara au watu wenye experience na biashara kutoka kwa ndugu ama marafiki! Haijalishi ni biashara kubwa ama ndogo, weka hapa ujuzi watu wajinyakulie maarifa ili kupata pesa ya ziada ya kulipia kodi ya namba ya NIDA au ya hewa wanayoivuta baada tu ya Tin NUMBER kutolewa
Mfano:
Tafuta mtaji wa 400,000
Nunua magunia 10 ya mkaa Tanga ukayauze Dar, gunia moja @30,000 na nauli ya kenta 100,000
Ili utengeneze faida ya 250,000 baada ya mauzo ya magunia yote
Uzia maeneo ya mbagala utatoboa kirahisi
N.B: Huo ni mfano wa uwasilishaji taarifa!
Tusaidiane kwa hili wakuu!
Leo tupeane maarifa! Ni kwa wale tu wafanya biashara au watu wenye experience na biashara kutoka kwa ndugu ama marafiki! Haijalishi ni biashara kubwa ama ndogo, weka hapa ujuzi watu wajinyakulie maarifa ili kupata pesa ya ziada ya kulipia kodi ya namba ya NIDA au ya hewa wanayoivuta baada tu ya Tin NUMBER kutolewa
Mfano:
Tafuta mtaji wa 400,000
Nunua magunia 10 ya mkaa Tanga ukayauze Dar, gunia moja @30,000 na nauli ya kenta 100,000
Ili utengeneze faida ya 250,000 baada ya mauzo ya magunia yote
Uzia maeneo ya mbagala utatoboa kirahisi
N.B: Huo ni mfano wa uwasilishaji taarifa!
Tusaidiane kwa hili wakuu!