Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,551
- 28,508
Nimelazimika kulalamika katika mtandao huu wa JF maana naona M-Pesa sasa hivi ni very risky.
Jana nimemtumia mtu pesa kwa M Pesa akiwa dukani(pharmacy) ili anunue madawa muhimu sana kwa mgonjwa. Jamaa dawa kazipata zote na zilikuwa na gharama kubwa. Nikatuma hela kwa M-Pesa immediately.
Baada ya nusu saa meseji hajapata kuwa pesa imeingia kwake. Nikawapigia M Pesa kwa huduma ya jamii, namba 100. Jibu standard, tunatuma ujumbe mwingine.
Baada ya nusu saa tena meseji ya kutoa hela haijaenda.
Nikapiga tena no 100 huduma kwa wateja, jibu bado standard, tutatuma meseji tena. Baada ya masaa mawili bado meseji ya kuchukua fedha haijaenda, nikawapigia MARA YA TATU! Jamaa wa Voda M-Pesa wananiambia , tutatuma meseji tena, tukusaidie tatizo jingine?
I blew my top.
Nikawaambia -Rudisheni hela yangu immediately, kama mmeshindwa kutuma. Jamaa wa M Pesa anajibu, itabidi usubiri within 24hrs!
Leo napiga no 100 huduma kwa wateja , wananijibu, inabidi usubiri siku nne kurudishiwa pesa!!
Mgonjwa wangu kue yuko hoi bin taaban.
Ilibidi nipeleke fedha physically maana hali ilikuwa tete.
USE VODACOM M-PESA A YOUR OWN RISK!!
Mimi najitoa.
UPDATE:
Sasa tuone MAAJABU
Nimepata message hii sasa hivi saa 8.04 mchana huu.
Hii ni baada ya kuwapigia simu no 100 (huduma kwa wateja) mara kadhaa, sasa hivi wamenitumia ujumbe(sionyeshi no za utambulisho)
"4JU******* Imethibitishwa, muamalawa kurudisha shughuli 4JU******* umefaulu na pesa kurudishwa mnamo 30/10/17 saa 4.41PM na sh570,000.00 zimeingizwa kwa akauni yako ya M-Pesa Baki yako mpya ya M-Pesa ni 610,000.00"
Message hii nimeipata saa 8.04mchana!!
Please note: time 4.41PM!!!! time ambayo haipo, hivyo si kompyua inayofanya input, ni mtu aliyepanic!
Conclusion: Ni kweli kabisa kuna employees wanachezea accounts za wateja .
VODA M-PESA SI MAHALI SALAMA
Jana nimemtumia mtu pesa kwa M Pesa akiwa dukani(pharmacy) ili anunue madawa muhimu sana kwa mgonjwa. Jamaa dawa kazipata zote na zilikuwa na gharama kubwa. Nikatuma hela kwa M-Pesa immediately.
Baada ya nusu saa meseji hajapata kuwa pesa imeingia kwake. Nikawapigia M Pesa kwa huduma ya jamii, namba 100. Jibu standard, tunatuma ujumbe mwingine.
Baada ya nusu saa tena meseji ya kutoa hela haijaenda.
Nikapiga tena no 100 huduma kwa wateja, jibu bado standard, tutatuma meseji tena. Baada ya masaa mawili bado meseji ya kuchukua fedha haijaenda, nikawapigia MARA YA TATU! Jamaa wa Voda M-Pesa wananiambia , tutatuma meseji tena, tukusaidie tatizo jingine?
I blew my top.
Nikawaambia -Rudisheni hela yangu immediately, kama mmeshindwa kutuma. Jamaa wa M Pesa anajibu, itabidi usubiri within 24hrs!
Leo napiga no 100 huduma kwa wateja , wananijibu, inabidi usubiri siku nne kurudishiwa pesa!!
Mgonjwa wangu kue yuko hoi bin taaban.
Ilibidi nipeleke fedha physically maana hali ilikuwa tete.
USE VODACOM M-PESA A YOUR OWN RISK!!
Mimi najitoa.
UPDATE:
Sasa tuone MAAJABU
Nimepata message hii sasa hivi saa 8.04 mchana huu.
Hii ni baada ya kuwapigia simu no 100 (huduma kwa wateja) mara kadhaa, sasa hivi wamenitumia ujumbe(sionyeshi no za utambulisho)
"4JU******* Imethibitishwa, muamalawa kurudisha shughuli 4JU******* umefaulu na pesa kurudishwa mnamo 30/10/17 saa 4.41PM na sh570,000.00 zimeingizwa kwa akauni yako ya M-Pesa Baki yako mpya ya M-Pesa ni 610,000.00"
Message hii nimeipata saa 8.04mchana!!
Please note: time 4.41PM!!!! time ambayo haipo, hivyo si kompyua inayofanya input, ni mtu aliyepanic!
Conclusion: Ni kweli kabisa kuna employees wanachezea accounts za wateja .
VODA M-PESA SI MAHALI SALAMA