preta...ni line za dili zinatoka huko huko kwao wanatengeneza na kuziuza. sema wataka ngapi.
Wee bwana acha kututapeli hapa!!Jaribu Kariakoo!!Hapa hupati mtu
Mambo wadau.
ninazo line za tiGo ambazo unatumia Internet access ya buree(UNLIMITED 3.5G speed).
waweza unganisha Kwenye modem yoyote inayokubali line za GSM.
Kupata hizi line inatakiwa uchangie kidogo SH 25,000/= tu
waweza place order yako hapa au PM me ili kufanikisha. utajaribu kwanza ndipo utapolipia.Guarantee ni mwezi mmoja. zipo chache najitahidi kuzimultply...haya kazi kwako
NATAMANI NIFANYE HIVYO NIMWAGE KILA KITU HAPA WATU WAJICHOTEEE...
TATIZO NI KWAMBA KAMA SI WEWE MTU WA TIGO BASI KUMBUKA KUWA NAO NI WANAJAMII FORUM
SO WANAFATILIA KWA MAKINI HII POST ILI WAJUE TUNAFANYEJE NA WAO WAKAFUNGE...ni kama TOM NA JERRY vile..KAKA UMENISOMA VIZURI NAJUA TU UMEELEWA...
KAMA WATAKA NITAKUELEKEZA BASIC WAY YA KUCHAKACHUA ILA HAITAKUBALI ANYWAY..
Watz tumezoea kuwa ukiona kitu cha bei rahisi unahisi kuibiwa! Niliwahi kuwambia watu kuwa "Internet ya bei nafuu sana tsh 2500 tu kwa mwezi!" Nilishambuliwa sana kuwa ni uongo mara utapeli wakati si kweli! Nawashauri watanzania wawatumie hawa wataalamu wa kitanzania kuboresha maisha yao! Mm natumia 2500 kwa mwezi na nipo online muda wote!!!
basi kama ni za Tigo ngoja niende huko huko tigo niwaambie waniuzie hizo za namna hiyo....asante kwa information
Ukienda huko ukafanikiwa kuiweka kwenye ubuntu yako uje unijulishe
Alafu we P hiyo kumechisha rangi za kucha na rangi ya "kabati la vyombo" ndo style yako?????
mtandao gani?