Tumfute machozi Freeman Mbowe, tusikubali aachie uenyekiti 2023. Ametupigania sana

Napata tabu Sana kuona watu hawamuelewi huyu Mjasiriamali was KISIASA.
Huyu ndiye anayekidai chama mabilion kila uchaguzi kwa kupokea na kutoa michango na Kisha kufanya matumizi bila vielelezo.
Huyu ndiye anayeuza majimbo kwa kutosimika wagombea kwenye baadhi ya maeneo mfano kule kwa nimrod mkono.
Huyu ndiye anayekula michango ya kina sabodo na matajiri wengine, anakula hela za wafadhili toka vyama washirika kule ulaya, anaweka dada zake mahawara na Ndugu zake na wa jamaa zake kuwa Wabunge wa viti maalum kwa upendeleo(nilisikia wale covid-19 waliamua kujiteua kwa sababu hii), anachangisha Wabunge na baadae kusepa na hela zote mfano mzuri zile 4bln za mwaka jana wakati viti maalum walichangishwa 1.5mlper month na wa majimbo 0.5ml per month na mwisho wa siku baada ya kuzikusanya kwa miaka 5 yaani miezi 60 zikayeyuka.
Huyu ndiye anaetoa kafara waandamizi wake kila mwaka kuanzia kwa Aman Walid Kabourou, Chacha Wangwe, Zitto Kabwe, Said Arf. Prof Safari, Dr. Slaa,kina Kitila, kafulila na wengine kibao.
Mimi namfananisha Mbowe na Mwl. Nyerere aliyeijenga nchi na ikamfia akiwa bado madarakani hata alipoamua kung'atuka kila kitu kilikuwa kimeisha. Ndio huyu Mbowe wako... mafanikio yote aliyopata kutoka kupata Kura 5%-39% za Urais mpaka Sasa anaporomoka, Lisu aliambulia 12 sijui...!!! Nafikiri next election itakuwa Kura za Membe. Upande wa ubunde ndio balaa kutoka 35 mpka 1. Na Sasa anaogopa hata kukiingiza chama kwenye uchaguzi ili udhaifu usionekane. Au Kuna mtu kasahau kwamba Wabunge 16 hivi walihama na madiwani zaisi ya 200.
Keyboard warriors waliimbishwa eti tumeibiwa juzi kati katoa majibu kwamba walishindwa uchaguzi kwa kuwa;
1. Hawakuwa na POTENTIAL CANDIDATES
2. CDM haina mtandao mpaka vjjn Kama CCM Sasa(suluhisho ni kwenda kijijini kusajili wanachama kidigitali kwa watu ambao bado wanaishi kianalojia).. Yale Yale ya Lowasa kushindwa kunadi sera jukwaani akasema watu wakaisome kwenye website ya Chama..
Nacheka Sana kwa kweli tumuongeze miaka mingine 20 haina shida
Makamanda eeeeeh
Peeeeeeeeeeople'ssssssssssss
 
Freeman Mbowe ana kitu chake pale mbele Paradiso
 

hizi znaitwa WISDOM!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…