Ni pale lilipo jengo la benki karibuni na taa za njiapamda Mnazimmoja. Mmiliki wa Kwacha ni mtu wa Iringa mzee Salehe Masasi.Hilo bus linaitwa kwacha ofisi zake zilikuwa rems hotel pale mnazi mmoja
Hawa wametsha,kamba wameweka za nn sasa
Tumetulia tunaangalia tuone anaejiongeza umri atakavyokoseaYes hii wa 2000 watulieeeeee
kuna.mzigo chini umefichwa la sivyo kamba zingepenya kwenye mchanga hadi chiniHawa wametsha,kamba wameweka za nn sasa