The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,607
- 6,071
Duh! Ee bana ee! Afadhali umeamua kutuondoa kwenye mambo ya sihasa angalau kwa muda!
Mimi ilinitokea nimeandika barua (nikiwa standard six nakumbuka) kwenda kwa mdada mmoja wa standard five! Niliiandika usiku, si nikaisahau chini ya mto! Nikiwa shuleni nikawa nafikiria jinsi mama atakavyoingia chumbani kufanya usafi! Unajua ndivyo ilivyotokea!! Ile kurudi home mchana naangalia chini ya mto barua haipo (kumbuka kitanda kimetandikwa pia)!! Nikajua leo (siku hiyo) nimekwisha! Mshua kurudi, maza anamuonyesha barua! Dingi hakulaza damu, kaniita na kunitaka niisome mbele ya familia (wadogo zangu 3 wakubwa zangu 3 pembeni baba na mama) Kwa kweli kilichofuatia ni kipondo! Dingi yangu alikuwa anatembeza mkono mwanzo mwisho!!! Those days bana!!!
:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh:You just made my day ulisulubiwa mbele ya wadogo na wakubwa zako wote wakicheki mkanda live