Tumeshindwa Wapi? Olympic Games Tokyo 2021

Tatizo lipo kwenye utayarishaji wa timu na mchakato wa kuqualify kushiriki....Wakimbiaji wengi wa Tanzania hawajatayarishwa kufuzu kukimbia Olympics maana wengi wapo below standards ya kushiriki Olympics..kuthibitisha Hilo angalia hata results kwenye Kilimanjaro Marathon na NBC dodoma marathon ambazo ndio za ndani zinatambuliwa kimataifa.... pia washiriki wetu wanatakiwa kwenda nchi zingine kushiriki international marathon na mbio fupi nje... Nani anaandaa na kufinance huo mchakato mzima? Simbu na geay walifuzu ndio maana ilikuwa rahisi wao kwenda...
Check table hii ndio standard's za kushiriki
View attachment 1886136
 

Attachments

  • Screenshot_20210805-184543.jpg
    Screenshot_20210805-184543.jpg
    29.4 KB · Views: 1
Yaan hata waongeze singeli kule Olympic tutajikuta tumekosa medal tunakosa hata Masai mmoja wakurusha mkuki
 
Tatizo lipo kwenye utayarishaji wa timu na mchakato wa kuqualify kushiriki....Wakimbiaji wengi wa Tanzania hawajatayarishwa kufuzu kukimbia Olympics maana wengi wapo below standards ya kushiriki Olympics..kuthibitisha Hilo angalia hata results kwenye Kilimanjaro Marathon na NBC dodoma marathon ambazo ndio za ndani zinatambuliwa kimataifa.... pia washiriki wetu wanatakiwa kwenda nchi zingine kushiriki international marathon na mbio fupi nje... Nani anaandaa na kufinance huo mchakato mzima? Simbu na geay walifuzu ndio maana ilikuwa rahisi wao kwenda...
Check table hii ndio standard's za kushiriki
View attachment 1886136
Naomba kujuzwa.
Je? Hawa wanariadha wana vilabu vyao au league yao kama vile vilabu vya mpira wa miguu,basketball na netball.
Yaani inakuwakuwa vipi mpaka mwanariadha afuzu kushiriki All African Games na Olympic?
Nalog off
 
Olympic kuna michezo mingi sana
Kuna kurusha mkuki, tufe, mshale, kubeba vitu vizito
Tujaribu na huko siyo kila mwaka ni mbio tu
Je? Hiyo michezo ina Federation zao hapa nchini.
Kama hakuna, je ni gharama kiasi gani kinahitajika kufungua hizo Federation na makocha wa michezo hiyo?
Nalog off
 
Back
Top Bottom