Tumeripoti polisi na Mhe. Sugu

Wajinga wanadanganyana. Ni uhuni mkubwa kuvunja vifaa vya bunge na ni uhuni mkubwa kwa mbunge kupiga askari

Kwa hiyo wewe unaona ni sawasawa askari kuumburuta mbunge na kumpiga teke. Jamani, tujifunze kuwa rational na wastaatabu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Poleni sana makamanda,tuko pamoja.Ukiona hivyo ujue haki inakaribia kupatikana.
 
Kila la heri malaika wetu, natumai mtamtoa huyo green devil
 
anda shame on you gamba!
 
Hayo madawa yenu tumieni wenywe tu wala msimsingizie mtu sugu alianza bangi yuko shule ya msingi unatarajia nini.

MWANGALIE NAE HUyu alianza bhangi shule ya msingi ulikuwa una mvutisha wewe??
 

hamna lolote nyinyi,mtatoka,mtarudi
 
Polisi katika kufanya kazi za CCM, ndugai naye anawatwisha mzigo mwingine, poleni polisi mtafanyaje ndio kazi mliyotaka na mmekubali wenyewe kuitumikia ccm bila aibu.

Hilo nalo litapita kama mengine, hakuna kesi hapo, labda huyo askari wa Bunge ana hamu ya kuandikwa kwenye media
 
Kwa hiyo wewe unaona ni sawasawa askari kuumburuta mbunge na kumpiga teke. Jamani, tujifunze kuwa rational na wastaatabu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

acha ujinga wewe ulitegemea askari wanapozuiliwa kutekeleza majukumu wafanyeje,ulitak wapige magoti kwa Sugu
 
Nasari na wahuni wenzako, mnapaswa kushughulikiwa na dola. Wajinga sana nyie, hii nchi ni yetu sote sio mnakula kodi zetu halafu mnafanya utoto bungeni
kwa hiyo ambao hawafanyi utoto ni wale wanaotukana wenzao kuliko kujadili mada iliyopo? Je ni wale wanaosema ndio?
 
pamoja sana makamanda,nina masikitiko makubwa sana,mbunge wangu jana hakumpiga askari yoyote hiyo kitu imeniumiza sana...nampongza sana sugu....
 
Kila la kheri Dogo,tunasikitishwa na udikteta wa naibu spika
Huyu Naibu spika hajitambui kabisa kwani nasikia hajui anawatoto wangapi kitu ambacho ni aibu na ndio maana Bunge kwa sasa halina Tija na manufaa yeyote kwa watanzania zaidi ya kututia hasara tu maana wanalipana Posho mwisho wa siku wanajadili mambo kipumbavu.
 
Ni kweli wasije fanya kama walivyomfanyia Ponda

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mbunge ukimuangalia hata macho tuu unajua amelipuliza,hivi hapo kweli chadema mnaweza kujivuna mna mwakilishi wa watu
 
km uhuni anaoufanya mbowe wa kutumia vibaya nafasi ya kiongozi wa upinzani bungeni kuongoza uhuni, vurugu, kupiga askari na kutukana badala ya kujenga hoja
mkuu hayo uliyosema una utani na kigwangalla na serukamba wewe!
 
acha ujinga wewe ulitegemea askari wanapozuiliwa kutekeleza majukumu wafanyeje,ulitak wapige magoti kwa Sugu

Mjinga ni wewe unayeona sawa askari kuwapiga wabunge mateke bila sababu. Akili zako na za Ndugai zinalingana. Pathetic.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…