Tumemsahau Dr Omari Ali Juma?

Tumemsahau Dr Omari Ali Juma?

Darren2019

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2019
Posts
1,111
Reaction score
2,411
Huyu Kiongozi wa Zanzibar huwa sisikii akizungumziwa kabisa japo alikuwa kiongozi mkubwa.
Alifariki tareh km ya jana 04-July 2001 ila kila nikijiweka karibu na vyombo vya habari sisikii akitajwa kabisa.
Pumzika kwa amani Dr Omari Ali Juma, japo ulifariki nikiwa darasa la 6 na pia mimi siyo mzanzibari ila nakukumbuka.
 
Ni noma sana ukifuatilia uzi wa nini kilimuua Dr. Omar Ali Juma.
Ni kweli mkuu mambo yamefukiwafukiwa lakini kweli hata kumbukumbu ya kifo chake tu? Hatajwi kabisa serikalini.
 
Tatizo Zanzibar wanategemea kila kitu kufanyiziwa, tutakumbuka wangapi.?
 
Mara nyingi makamu wa rais huwa wanasahaulika kuliko viongozi wengine
 
Kama Shamsi Vuai Nahodha tumemsahau huyo tutamkumbuka?
 
Huyu Kiongozi wa Zanzibar huwa sisikii akizungumziwa kabisa japo alikuwa kiongozi mkubwa.
Alifariki tareh km ya jana 04-July 2001 ila kila nikijiweka karibu na vyombo vya habari sisikii akitajwa kabisa.
Pumzika kwa amani Dr Omari Ali Juma, japo ulifariki nikiwa darasa la 6 na pia mimi siyo mzanzibari ila nakukumbuka.
Aendelee kupumzika kwa aman
 
Back
Top Bottom