Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 35,798
- 47,085
Dah!...Ule uzi una mambo mazito sanaNi noma sana ukifuatilia uzi wa nini kilimuua Dr. Omar Ali Juma.
Dah!...Ule uzi una mambo mazito sanaNi noma sana ukifuatilia uzi wa nini kilimuua Dr. Omar Ali Juma.
Huenda sababu vyeo vyao sio vya kiutendaji sana kama mawaziri wakuu.Makamu wa rais hawakumbukwi kwakweli, angalia hata Dr Bilal kama hayupo vile, ila wazir mkuu ndiye hukumbukwa
Sent from my SM-T800 using JamiiForums mobile app
Du!Walishamalizana naye
Ni natural death......ni heart attackDah!...Ule uzi una mambo mazito sana
Ni kweli mkuu, ule uzi una dots nzito sana mkuuSidhani kama ushawahi kufutwa labda wanauweka chimbo watu wakiusahau wanaurudisha bila kujua!!
Utata wa kifo cha Dkt Omary Ali Juma huu hapa mkuuUnaitwaje niusake boss...
Utata wa kifo cha Dkt Omary Ali JumaHuo uzi uko wapi nikajisomee na mimi?