The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,653
Angalia The Boss..kuna msemo kuwa once a soldier, you will always be a soldier
Yaani mechi mbili tu za kili
akaona amsajili kwa mbwembwe bila kumuuliza hata kocha kama kuna ulazima
Angalia The Boss..kuna msemo kuwa once a soldier, you will always be a soldier
Mkuu hatamimi nimebaki kinywa wazi, yani kudaka peneti tu tayari keshaonekana anafaa. Simba kwa hapo wamechemka.
mijitu kama Hans Pope ni ovyoo kabisa
Mkuu hatamimi nimebaki kinywa wazi, yani kudaka peneti tu tayari keshaonekana anafaa. Simba kwa hapo wamechemka.
wewe ni mgeni na wachezaji wa bongo!!hujui kuwa wanapenda kuishi Dar es salaa!!Ninge kuwa Rafiki wa IVo ,ningemshauri abaki hukohuko, mpra wake ulipopanda,huku anakuja kujimaliza.Hawa Simba na Yanga ni Talent Killers.
Huo si usajili, ni kurundika wachezaji, timu zetu huwa hazisajili bali zinarundika wachezajiHii nchi kama tumerogwa vile,uwezi kumchukua yaw berko,ambaye hata kwa umri tu kama sio wapo sawa basi watakuwa wanakaribiana,huu ni ujinga wa hali ya juu,kwa mantiki hiyo walikuwa awana sababu hata moja yakumwacha kaseja.
Soka la bongo kila siku vituko tu.
Yaani mechi mbili tu za kili
akaona amsajili kwa mbwembwe bila kumuuliza hata kocha kama kuna ulazima
ivo nenda kwenu MBEYA CITY
Ninge kuwa Rafiki wa IVo ,ningemshauri abaki hukohuko, mpra wake ulipopanda,huku anakuja kujimaliza.Hawa Simba na Yanga ni Talent Killers.
tatizo watu wanakuwa viongozi wa simba na yanga ili wawe maarufu na sio kuendeleza klabu na wengine ni njaa tu.uwa wanategemea klabu kwa kila kituKweli simba na yanga si timu nzuri embu ona kibadeni amefukuzwa simba wakati alipata shavu kagera sugar Ivo baki hukohuko Kenya.
Yaani mechi mbili tu za kili
akaona amsajili kwa mbwembwe bila kumuuliza hata kocha kama kuna ulazima