Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,316
- 12,826
baba paroko bana...Mi sikua najua hilo,nilikuwa napiga story tu ......
Haya bana ....!!
baba paroko bana...Mi sikua najua hilo,nilikuwa napiga story tu ......
Haya bana ....!!
Unajua wengine humu wana Mabwana humu wanahisi wanaibiwaa inabid wawe wazii kuchukiana sio mpangoooo
Jaman tupendane tu chuki haifaii