Vaislay
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,532
- 1,822
- Thread starter
- #21
Unajua wengine humu wana Mabwana humu wanahisi wanaibiwaa inabid wawe wazii kuchukiana sio mpangoooo
Jaman tupendane tu chuki haifaii
yaani umenipa mwanga....jitu linatumia ID nyingine kutema shudu kisa yupo nawasi wa kuibiwa, wanadhani wote kusaka bwana humu...
mjinga aliyenichokoza mimi simsameh ------- zake....na anabahati..km yeye mjanja angekuja kwa real ID...