Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,943
- 25,284
Kuna kitu kinaitwa grooming kuna uwezekano mkubwa atakuwa anapangwa, kuna documentary moja niliiona nafikiri ni Aljazeera, ni binti mdogo miaka chini ya 20 , alikutana na mtu online wakaanzisha mahusiano, binti alikuwa Uingereza, jamaa yupo Syria na ni mpambanaji wa ISIS. Sasa mahusiano yalivyopamba moto binti akatoroka Uingereza kwa kutamani kuishi maisha ya Syria. Alivyofika kukuta mambo ni tofauti na matarajio akataka kurudi Uingereza, serikali nayo imekaza wanasema yeye ni tishio, ndio walikuwa wanamhoji analalamika, yupo tayari arudi hata kama mfungwa Uingereza☹️Yaan negative comment ni nyingi