Yusomwasha
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 2,092
- 844
Nashindwa kuandika hapa kwa hasira dhidi ya TCRA. Hebu angalia vingamuzi vinapanda gharama za kulipia everyday, local channel hakuna mpaka ulipie. Hili ni jipu tena hatuitaki tena wameshindwa kazi!
Serikali iishughulikie TCRA. Mamia ya barua yameandikwa kwa TCRA kuhusu vingamuzi lakini wapo kimya. Narudia tena TCRA ni chombo cha makampuni ya mawasiliano na si watanzania. Ni kama geresha tu hatuitaki!
Serikali iishughulikie TCRA. Mamia ya barua yameandikwa kwa TCRA kuhusu vingamuzi lakini wapo kimya. Narudia tena TCRA ni chombo cha makampuni ya mawasiliano na si watanzania. Ni kama geresha tu hatuitaki!