Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Hii ni picha inayozunguka mitandaoni kuhusiana na yale yaliyokea leo.
Siongezi neno lolote bali kila mtu ajionee mwenyewe.
Siongezi neno lolote bali kila mtu ajionee mwenyewe.
Maza anaupiga mwingi sana hadi raha.Hii ni picha inayozunguka mitandaoni kuhusiana na yale yaliyokea leo.
Siongezi neno lolote bali kila mtu ajionee mwenyewe.
View attachment 1891302
Watanzania ni maiti. .....by Jomo Kenyatta (rip).Mguu Wa askari wetu uko shingoni mwa mnyonge?
Aisee
KweliWatanzania ni maiti. .....by Jomo Kenyatta (rip).
Umeangalia vibaya!Mguu Wa askari wetu uko shingoni mwa mnyonge?
Aisee
Ingetokea nchi za wanadamu hai, pasingetosha, pangechimbika na nchi isingetawalika.Kweli
Maana hii ingetokea sehemu nyingine dunia
Kungekua kuna amsha amsha nyingi
Jamaa kalalia kiatu cha askari,ila wahuni mnataka kupindisha ukweli.Mguu Wa askari wetu uko shingoni mwa mnyonge?
Aisee
Dah mitandao siku hizi inatumika vibaya Sana kueneza propaganda mbaya kuhusu kitu flani Apo utakuta Kuna muhuni mmja kapiga pich ya kuotea ili achafue watu Basi ila kuwa msukuke ni kazi Sana sababu utakubali kila kitu ata kile kinachojidhihirisha kw macho tu,,,Jamaa kalalia kiatu cha askari,ila wahuni mnataka kupindisha ukweli.
Ndio siasa walizobakiza.Dah mitandao siku hizi inatumika vibaya Sana kueneza propaganda mbaya kuhusu kitu flani Apo utakuta Kuna muhuni mmja kapiga pich ya kuotea ili achafue watu Basi ila kuwa msukuke ni kazi Sana sababu utakubali kila kitu ata kile kinachojidhihirisha kw macho tu,,,