tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,759
- 768
Kwanza naomba mnielewe maandamano ni haki ya kisheria na sina mashaka na hilo.
Lakini inavyooneka suala la katiba limeshanunuliwa na wanasiasa.
Na kwavile wanasiasa hawaaminiki(rejea kauli ya ZITTO)
yawezekana wakawa waongo,walaghai,walubuni au waponzaji.
Tunaomba warudi mezani au kama wanataka kuandamana,basi waende wao na familia zao .
Tumeshaandamana sana lakini linapokuja suala la chai na juice ya magogoni tunajikuta tumerudi kulekule alikosema ZITTO.
Tulieni dawa iingie (by H.KIGWANGALA).
Lakini inavyooneka suala la katiba limeshanunuliwa na wanasiasa.
Na kwavile wanasiasa hawaaminiki(rejea kauli ya ZITTO)
yawezekana wakawa waongo,walaghai,walubuni au waponzaji.
Tunaomba warudi mezani au kama wanataka kuandamana,basi waende wao na familia zao .
Tumeshaandamana sana lakini linapokuja suala la chai na juice ya magogoni tunajikuta tumerudi kulekule alikosema ZITTO.
Tulieni dawa iingie (by H.KIGWANGALA).