Tumeanza Kusherekea Ushindi

Tumeanza Kusherekea Ushindi

Marco Polo

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2014
Posts
13,213
Reaction score
20,987
Mm, familia yangu na watu wengi wa karibu tumeanza Kusherekea mapema ushindi wa Dr John Joseph Pombe Magufuri... Kama unajihis Kushiriki karibu Forodhani Garden kesho saa 2 usiku, huduma zote zimelipiwa.... Dalili zote za ushindi zimeshatimia njoon batani.
 
Mm, familia yangu na watu wengi wa karibu tumeanza Kusherekea mapema ushindi wa Dr John Joseph Pombe Magufuri... Kama unajihis Kushiriki karibu Forodhani Garden kesho saa 2 usiku, huduma zote zimelipiwa.... Dalili zote za ushindi zimeshatimia njoon batani.

then what?....
 
Mm, familia yangu na watu wengi wa karibu tumeanza Kusherekea mapema ushindi wa Dr John Joseph Pombe Magufuri... Kama unajihis Kushiriki karibu Forodhani Garden kesho saa 2 usiku, huduma zote zimelipiwa.... Dalili zote za ushindi zimeshatimia njoon batani.

Rais Lowasa atosha hana mpinzan
 
Mm, familia yangu na watu wengi wa karibu tumeanza Kusherekea mapema ushindi wa Dr John Joseph Pombe Magufuri... Kama unajihis Kushiriki karibu Forodhani Garden kesho saa 2 usiku, huduma zote zimelipiwa.... Dalili zote za ushindi zimeshatimia njoon batani.

Ebwana mkuu ningekuwa pande za dar ningetimba tu hapo mana hakuna namna! Ila maneno yako yanawachomaaaaaa!!!!
 
sasa hivi kuna watu wanapanga kuja kupalipua Forodhan garden

Wacha Waje tu hamna shida mbona, maana kuna watu wametoka depo juzi juzi tu huwa fields zao wanafanyia kwenye miili ya watu... Hichi ndio kipindi Chao cha kujidai kwa kula vichwa.
 
Back
Top Bottom