hexacyanoferrate
JF-Expert Member
- May 15, 2014
- 1,232
- 792
Me nafikiri huyu ana shahada ya unafiki kutoka chuo cha UKAWA.
Kama ulivyo wewe mnafiki,kwasababu ya tumbo.
Me nafikiri huyu ana shahada ya unafiki kutoka chuo cha UKAWA.
duuu!!!! kweli mkuumaandiko lzima yatimie. Kumbuka alisema yale siyo maneno yake ila ni maono.
Useless attitudes tend to come from people who don't know what they really want from their communication.
Kweli kabisa, kama huyu mnafiki 6 ni wa kuchoma moto jumla
Yaani siku nyingine mwewe anakufa kwa kurushwa na umeme ila Mzee Six hakujua .Nilimsikia Sitta akisema "Inshallah najua akidi itapatikana tuu, Dua la kuku halimpati mwewe! " sikupata kumuelewa anamaanisha nini!
Nilimsikia Sitta akisema "Inshallah najua akidi itapatikana tuu, Dua la kuku halimpati mwewe! " sikupata kumuelewa anamaanisha nini!
Acha unafiki wewe.
maandiko lzima yatimie. Kumbuka alisema yale siyo maneno yake ila ni maono.
Nilimsikia Sitta akisema "Inshallah najua akidi itapatikana tuu, Dua la kuku halimpati mwewe! " sikupata kumuelewa anamaanisha nini!
bora mchawi kuliko mnafiki.
teh teh, kwa ccm chochote kinawezekana, kwa uchakachuaji ndo wenyewe!Sitashangaa nikisikia imetungwa kanuni ya kuongeza wajumbe wa dharura ili 'wapige kura' ya ndiyo
mkuu alimaanisha kwa uchakachuaji mkuu, si unajua maccm!Nilimsikia Sitta akisema "Inshallah najua akidi itapatikana tuu, Dua la kuku halimpati mwewe! " sikupata kumuelewa anamaanisha nini!