Tumeamini Katiba ni maridhiano

Tumeamini Katiba ni maridhiano

Wanaogopa kuchekwa! Sitta akitoka huko sujui atasali wapi maana amewaita maaskofu wapuuzi, maaskofu aliowasifu siku anaapa kuwa mwenyekiti wa bunge maalumu.

Those guys they document to show... so they can prove that they were working; Sitta atakuwa kama Warioba watakuwa wamefanya kazi yao... sasa ni upuuzi wenu kuamua kuendelea na katiba ya 1977!
 
Mzee Vuta-Nkuvute, usijali. Ukawa tuko njiani kuja kuongeza kura za hapana. Kwa maana hiyo, tutafanya akidi iwe mbali zaidi. Natumaini unajua hesabu.
 
Mzer hata juzi nimeulizia hapa jf kwamba Mzee Tupa Tupa yuko wapi?Maana siku zote taarifa zako somehow verified tofauti na wanaccm wenzako kama Lizaboni,Chaburuma,Ritz,n,k.Wao ilimradi kila asubuhi watumiwe bundle toka Lumumba basi wanapost kila porojo ilimradi matumizi ya bundle yaonekane na buku 7 iandikiwe vocha.

HUYU ni KIONGOZI , SASA HAO ULIOWATAJA HAPO NI BUKU 7 FC TU , WENGI WAO WANATUMIA ID ZILIZOFUNGULIWA NA CHAMA , CC - MSALANI
 
Haa haa kikosi kazi kimetua dodoma kwa uchakachuaji, kwa kweli nimeamini kwa uchakachuaji ccm hakuna mfano! Kwa nini mlazimishe kura za hapana ziwe za ndio?
 
Me nafikiri huyu ana shahada ya unafiki kutoka chuo cha UKAWA.

Mapovu ya nini mkuu? hivi ile tabia yako ya kujipendekeza hujaachaga?Maana kipindi tunasoma primary mwalimu wa zamu kila akiingia darasani na kusema nani anitajie wapiga kelele nimpe pipi wewe ulikuwa unarespond fasta.
Naona siku hizi sasa upo kwa buku 7per day.Kweli jasiri aachi asili.
 
Me nafikiri huyu ana shahada ya unafiki kutoka chuo cha UKAWA.

Mzee Tupatupa siku zote amekua ni msema kweli kwa habari zote za ndani za Lumumba tofauti na nyie mpaka msome kwanza kwenye magazeti.
Viva Tupatupa viva!!!!
 
Watalaamu wa Project Management wanasema kuwa it is compulsory to undertake so called cost-benefit analysis. Tatizo mradi huu haramu ulisimamiwa na watu vilaza. Sasa fikiria kuwa ndani ya CCM walimuamini Kilaza Makonda ku-engineer the process. Kwa akili za akina Makonda sishangai kushindwa kwa mradi huu.
 
Haa haa kikosi kazi kimetua dodoma kwa uchakachuaji, kwa kweli nimeamini kwa uchakachuaji ccm hakuna mfano! Kwa nini mlazimishe kura za hapana ziwe za ndio?

Kama waliweza kubadilisha div. Zero kuwa div. Two, je hili watashindwa?
 
Kwa maana hiyo kura zote za siri wamezisilimisha kuwa NDIO.. hizi za HAPANA za macho kuona ndio zinawatoa jasho.. Kumbe kura za wazi zina uzuri wake bhana.. Pigo moja Takatifu Six Chali.
 
Wanaogopa kuchekwa! Sitta akitoka huko sujui atasali wapi maana amewaita maaskofu wapuuzi, maaskofu aliowasifu siku anaapa kuwa mwenyekiti wa bunge maalumu.

Leo mashehe pia hawamtaki.
 
Sitashangaa nikisikia imetungwa kanuni ya kuongeza wajumbe wa dharura ili 'wapige kura' ya ndiyo
 
Ukiandikaga wewe sikibishii...... Ni kweli.
 
Mzee Tupatupa siku zote amekua ni msema kweli kwa habari zote za ndani za Lumumba tofauti na nyie mpaka msome kwanza kwenye magazeti.
Viva Tupatupa viva!!!!

Wewe ni kama mimi. Ni kweli.
 
zikurudiwa kuna waislamu wamesema wanapiga za hapana, so zinaweza kuongezeka, na wazanzibar hawataki kurudi na aibu kwao maana wanajua wananchi hawata waacha
 
sasa wanaona umuhimu wa maridhiano badala ya ubavu na ubabe ambao umeshindwa kutimiza akidi
ccm ni chama cha mazuzu

Useless attitudes tend to come from people who don't know what they really want from their communication.
 
Kwa maana hiyo kura zote za siri wamezisilimisha kuwa NDIO.. hizi za HAPANA za macho kuona ndio zinawatoa jasho.. Kumbe kura za wazi zina uzuri wake bhana.. Pigo moja Takatifu Six Chali.

walizingangania sana cm sasa wameliona
 
Back
Top Bottom