nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Hapo kikosi cha uchakachuaji kinahaha, kwa hali ilivyo sitta angekuwa muungwana hakukuwa na haja ya kuendelea na bunge hili kwa sasa,maana wananchi tumeona zanzibar hakuna theluthi 2. Kinyume cha hayo ni uchakachuaji mtupu!