VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,004
Wazanzibari wametutoa jasho. Wameshaharibu mianya ya kupata akidi. Punde,timu ya kimkakati tumetua Dodoma kutafuta maridhiano. Maridhiano ya kiakidi. Kuongea na wanahapana ili wajiunge na wanandiyo. Kanuni ziko kimya juu ya kurudia au la upigaji wa kura. Tunahitaji wanahapana wachache wahamie kwa wanandiyo.
Kura za siri nazo ni shubiri. Hapana zhmetamalaki. Napo panahitaji maridhiano. Ikibidi,tutatafuta maridhiano hata na wanaUKAWA kuokoa jahazi. Sasa kama chama tawala tumeamini kuwa Katiba ni jambo la maridhiano na si majivuno. Tusameheni.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam (kwasasa Dodoma)
Kura za siri nazo ni shubiri. Hapana zhmetamalaki. Napo panahitaji maridhiano. Ikibidi,tutatafuta maridhiano hata na wanaUKAWA kuokoa jahazi. Sasa kama chama tawala tumeamini kuwa Katiba ni jambo la maridhiano na si majivuno. Tusameheni.
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam (kwasasa Dodoma)