Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,488
JF members!
Naomba kujua hizi tume
1-nini kazi zake?
2-zinafanya kazi kwa ajili ya akina nani?
3-wanaoshughulika wanalipwa?
4-ripoti yao anakabidhiwa nani?
5-ili zifanyiwe kazi...mbona hazifuatwi?
Hii nimetaja nikikumbuka tume ya mh jaji nyalali.
Mwakiyembe n.k.
Naombeni tuchangie pia nisaidiwe kujua hayo .
Naomba kujua hizi tume
1-nini kazi zake?
2-zinafanya kazi kwa ajili ya akina nani?
3-wanaoshughulika wanalipwa?
4-ripoti yao anakabidhiwa nani?
5-ili zifanyiwe kazi...mbona hazifuatwi?
Hii nimetaja nikikumbuka tume ya mh jaji nyalali.
Mwakiyembe n.k.
Naombeni tuchangie pia nisaidiwe kujua hayo .