Rabi wa Leo
Senior Member
- Mar 5, 2012
- 104
- 25
Kwa mara nyngne tena tunakwenda kuishuhudia tume ya kiserikali ikikabidhiwa jukumu la kulichunguza tukio la kutekwa na kupigwa kwa Dr.Ulimboka..Hii inanikumbusha miaka kadhaa ilipopita pale ndugu yangu Saeed Kubenea alipomwagiwa Tindikali..Vipi,ile tume ilisharudisha report?