Tume ya Uchaguzi inaendelea kudhihirisha uhuru wake

Tume ya Uchaguzi inaendelea kudhihirisha uhuru wake

sanshinda

Member
Joined
Sep 25, 2017
Posts
79
Reaction score
33
Nimekuwa nikifuatilia jinsi Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC inavyoendesha mambo yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kiukweli nashawishika kwamba hii Tume ni huru ila tatizo pengine ni wanasiasa wasiokubali kukiri kwamba wanashindwa kwenye chaguzi.

Hata sasa naona NEC inafanya vizuri pia kwenye utoaji fomu za kugombea Urais ikiwa vyama kumi (10) tayari vimechukua fomu. Hatujasikia kwamba kuna chama kimenyimwa fomu. Hongera NEC. So far so good [emoji106].
 
Lisu atakapopigwa oktoba hatakuwa na kisingizio.
 
Nimekuwa nikifuatilia jinsi Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC inavyoendesha mambo yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kiukweli nashawishika kwamba hii Tume ni huru ila tatizo pengine ni wanasiasa wasiokubali kukiri kwamba wanashindwa kwenye chaguzi.

Hata sasa naona NEC inafanya vizuri pia kwenye utoaji fomu za kugombea Urais ikiwa vyama kumi (10) tayari vimechukua fomu. Hatujasikia kwamba kuna chama kimenyimwa fomu. Hongera NEC. So far so good [emoji106].
Loketo ashasema haiamini Tume hii.

Anachokitaka imtangaze mshindi tu.

Loketo ni kiazi kweli kweli
 
Nimekuwa nikifuatilia jinsi Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC inavyoendesha mambo yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kiukweli nashawishika kwamba hii Tume ni huru ila tatizo pengine ni wanasiasa wasiokubali kukiri kwamba wanashindwa kwenye chaguzi.

Hata sasa naona NEC inafanya vizuri pia kwenye utoaji fomu za kugombea Urais ikiwa vyama kumi (10) tayari vimechukua fomu. Hatujasikia kwamba kuna chama kimenyimwa fomu. Hongera NEC. So far so good [emoji106].
Rubbish.
 
Nimekuwa nikifuatilia jinsi Tume ya Taifa ya Uchaguzi-NEC inavyoendesha mambo yake kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 28, 2020 na kiukweli nashawishika kwamba hii Tume ni huru ila tatizo pengine ni wanasiasa wasiokubali kukiri kwamba wanashindwa kwenye chaguzi.

Hata sasa naona NEC inafanya vizuri pia kwenye utoaji fomu za kugombea Urais ikiwa vyama kumi (10) tayari vimechukua fomu. Hatujasikia kwamba kuna chama kimenyimwa fomu. Hongera NEC. So far so good [emoji106].

Tutajie siku wagombea wa urais waliyowahi kunyimwa fomu, mpaka useme wanachofanya tume sasa hivi ndio uhuru wenyewe wa tume. Hii ni sawa na ule uhuni wa juzi wa kura za maoni za ccm eti zilizokuwa za uwazi, huku kikao kinachofanya maamuzi ya mwisho ni cha gizani.
 
Back
Top Bottom