Caroline Hans
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 723
- 386
We Mwajuma ndala mbili na huku umo?
Nyïe mmekula wapinzani sasa mnaanzana wenyewe,hakuna tone la damu litalomwagika bure,litali na nyie na anayewatuma mpaka kizazi cha nne
Bro Shirikisha viungo vyako vizuri, 2018 unawaza kumwaga damu? Ishiiiii labda ianze kumwagwa yako kwanza! Unaishi kwenye nchi ya amani na utulivu ndio maana unapata hata muda wa kuposti haya makitu yako.