lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Habari,
Kwa wale tuliofanya usaili tar 2 february pale tume ya taifa ya uchaguzi kwa kazi ya daftari la wapiga kura tunaomba mwenye taarifa yoyote atujuze mana kimya kingi na hatujui kama kuna watu washaitwa au la.
Yeyote mwenye taarifa za jikoni tunaomba atujuze.
Kwa wale tuliofanya usaili tar 2 february pale tume ya taifa ya uchaguzi kwa kazi ya daftari la wapiga kura tunaomba mwenye taarifa yoyote atujuze mana kimya kingi na hatujui kama kuna watu washaitwa au la.
Yeyote mwenye taarifa za jikoni tunaomba atujuze.