Huu unyanyasaji kuna siku utakuwa na mwisho tu. Wakati Obama anagombea urais hakuna mzungu angeamini kuwa ataiona ikulu, lakini hadi leo anatimiza vipindi viwili madarakani akiwaongoza wazungu
Zungumzia uhalisia na sio mifano mmurugenz kaulizwa amkodsha nan ili watu wakaongee nae hatak kumtaja alaf unasema nn ww
mlitunyima uwanja wa taifa
Kutokana na uzoefu..ACT..inaweza kubadilishiwa na wakapewa sehemu ndogo zaidi..maana inaeleweka nyomi ya ukawa inatisha..ni swala la kufikiri kwa makini tu mkuu..wala haihitaji vifungu vya sheria..labda uwe na lako jambo..over!
Isije ikawa Mbinu ya kuongeza credibility ya NEC ili huko mbele ukiilalamikia ionekane nyinyi ndio wendawazimu
jidanganye ila jihadhari usije amini uongo wako. ukidanganyika kwa uongo wako utaweza kukataa matokeo kitu ambayo ni hatari.Wapo ndani ya chama lakini hata wao wanajua ukawa ndio viongozi wa serikali ijayo.
Siyo kazi yake kutaja waliopewa kibali..siyo utaratibu,,mlitakiwa kufanya booking mapema msimtafute mchawi kwa uzembe wenu..!!
Tuliwaambia safari hii nyie ndio mtakaokuwa mnalalamika.