Ndugu uelewe unaweza kuingiza kwa kujenga dispensarySehemu kubwa ya hiyo hela haitapotea. Itaingia mikononi mwa walipa kodi wa nchi hii na kuzalisha pesa zaidi. Hii ni njia mojawapo ya kuingiza pesa mwenye mzunguko ambazo kuna watu walisema zimepotea
Na badoMie nimeamua kubana matumizi! Kumbe UONGO MTUPU!!!!