Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutumia Sh. Bilioni 1 ktk Uchaguzi wa Marudio Kinondoni

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,271
47,271
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amesema wamejiandaa kutumia shilingi bilioni moja kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni.
FB_IMG_1516613513905.jpg


Halafu utakuta mtu hajui kwanini nchi yetu ni masikini.
 
Sawa ndo wengine wanapatiepo mzunguko wa maisha wenye tenda watalipwa mawakala nao pamoja wengineo
Gilisi hiyo ya kulainisha baadhi ya vyuma
 
Sehemu kubwa ya hiyo hela haitapotea. Itaingia mikononi mwa walipa kodi wa nchi hii na kuzalisha pesa zaidi. Hii ni njia mojawapo ya kuingiza pesa mwenye mzunguko ambazo kuna watu walisema zimepotea
 
Sawa ndo wengine wanapatiepo mzunguko wa maisha wenye tenda watalipwa mawakala nao pamoja wengineo
Gilisi hiyo ya kulainisha baadhi ya vyuma
Kweli kabisa, mimi najipanga kuuza maji na juisi kwenye mikusanyiko ya kampeni, hizi ndo fursa adimu, wananchi tuzichangamkie
 
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amesema wamejiandaa kutumia shilingi bilioni moja kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni.View attachment 682132

Halafu utakuta mtu hajui kwanini nchi yetu ni masikini, mkiitwa 'shithole' countries mnakasirika.
Pesa inayotumika kurudia chaguzi, kuwanunua Wapinzani, kuwabambikia kesi, kuwahujumu, kuwapiga Risasi, ni pesa nyingi sana na kama CCM wangekuwa wanatumia hizo pesa kupeleka maendeleo majimboni wangekuwa wanavuna kura pasipo kufanya uchakachuaji wowote ule, wala kutumia polisiccm kuiba kura.
 
Back
Top Bottom