Tume ya Taifa ya Uchaguzi kutumia Sh. Bilioni 1 ktk Uchaguzi wa Marudio Kinondoni

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Ramadhani Kailima amesema wamejiandaa kutumia shilingi bilioni moja kwa ajili ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kinondoni.View attachment 682132

Halafu utakuta mtu hajui kwanini nchi yetu ni masikini.
Mkuu,
Hiyo picha ndiyo ushahidi wa maneno aliyosema huyo mkurugenzi.?
Namna rais anavyosema kubana matumizi bado sijakubaliana kama hiyo ni kweli.

Labda kama makinikia yamelipwa tayari.
 
Kama mnaona ni gharama na serikali inatumia hela vibaya za walipa kodi na nyinyi ni wazalendo kwa nini msisusie uchaguzi huu ili wagombea wapite bila uchaguzi wowote na pia itaonesha kuwa hamuungi mkono uchaguzi huo sababu umegubikwa matumizi mabaya ya fedha....ila kumbuka democrasia ni gharama.
Kule songea na singida hakukuwa na uchaguzi,ndiyo maana tume haijatumia gharama yoyote.
Kweli tunafundishwa sawa lakini kuna wa kwanza na wa mwisho.
 
Na hiyo hesabu hapo ndio wameipunguza mpaka basi wakaona waitaje.....walivyokua wapuuzi wanaitaja huku wanafurahi as if wanaitoa wao mifukoni.......
 
Anaandika Mwenyekiti wa CUF Julias Mtatiro
TUMELAANIWA!!!

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetenga bajeti ya Shilingi Bilioni 1 (Milioni 1000) FEDHA ZA WALIPA KODI MASIKINI, ili kusimamia uchaguzi wa jimbo la Kinondoni - DSM.

Serikali yetu inazo Shilingi Bilioni 1 za kusimamia uchaguzi ambao umelazimishwa na serikali hiyo hiyo ambayo imemfanya aliyekuwa mbunge kuwa bidhaa na kisha inamrejesha sokoni ili anunuliwe tena.

1 Billion ni sawa na Pikipiki 500 mpya ambazo zingeteneza ajira mpya 500 kwa vijana 500 na kuzaa faida ya shilingi Bilioni 1.44 kwa mwaka mmoja.

Shs Bilioni 1 zinaweza kununua matrekta madogo ya kilimo yapatayo 100 ambayo yanaweza kulima ekari 30,000 kwa mwaka na kuzalisha mazao yenye thamani ya mabilioni ya pesa.

Shs Bilioni 1 zinaweza kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa vijana 220 kwa mwaka mzima, na vijana hao 200 wakaja kuzalisha mabilioni ya pesa kwenye uchumi wa nchi.

Shs Bilioni 1 zinaweza kulipa mshahara wa mlinzi kwa mwaka mzima kwenye jumla ya shule 555 nchi nzima na kwa hiyo migogoro ya shule kuchangisha wazazi pesa za walinzi ikafia hapo.

Shilingi Bilioni 1 zinaweza kuanzisha jumla ya biashara 2,000 kwa wajasiriamali 2000 wadogo ambao kila mmoja anaweza kuzalisha faida ya Shilingi 200,000 - 300,000 kwa mwezi na kwa ujumla wakazalisha Shilingi Bilioni 4.5 kwa mwaka mmoja, kama faida.

Lakini, kinchi masikini na ombaomba kama hiki cha kwetu, kimejiingiza kwenye biashara ya kununua wabunge na madiwani, na matokeo yake badala tutumie fedha za serikali kuzalisha ajira, kupanua mitaji, kukuza uchumi na kuboresha maisha ya watu wetu - tunatumia fedha hizo ili kufanyisha uchaguzi mpya ambao utapelekea wabunge wabadilishe vyama na kuingia CCM?

Mambo mengine yanahitaji akili ndogo kweli! Mngeliweza kusubiri 2020 mkanunua wabunge na madiwani wote wa upinzani. Na kati ya 2015 - 2020 mkatumia kila SENTI yenu kuzalisha ajira na kukuza uchumi. Badala yake, muda huu wa kuzalisha ajira na kukuza uchumi ndipo mnatumia fedha za walipa kodi kununua madiwani na wabunge na kurudua chaguzi.

Ikifika 2020 mtakuwa mmeumiza maisha ya familia ngapi? Mtakuwa mmewanyima vijana wangapi mitaji? Mtakuwa mmewapora vijana wangapi bodaboda? Mtakuwa mmewaua wakulima wangapi wanaolima kimasikini kwa jembe la mkono?

Wakati fulani huwa nahisi tumelaaniwa.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J.
Le mutuz, Jerry muro, Lipumba na Maliyamungu Bashite ndiyo walibuni mladi mkubwa wa kuwanunua Wapinzani kwa pesa za walipa kodi ambao wengi sio CCM, Hazina pesa inachukuliwa kienyeji na Maliyamungu Bashite na timu yake mda wowote pindi akijisikia kwenda kuchota kwa kisingizio cha kuzitumia kudhoofisha upinzani. Kwa sasa Madalali wa siasa toka CCM ni matajiri wakubwa kupitia Hizo hizo pesa za kuwanunua wabunge, madiwani na wanachama wa kawaida.
 
Na hiyo hesabu hapo ndio wameipunguza mpaka basi wakaona waitaje.....walivyokua wapuuzi wanaitaja huku wanafurahi as if wanaitoa wao mifukoni.......
Pesa nyingi itatumika sana, zaidi ya bilion 5 huenda zinatumika ili kumsaidia CCM ishinde hata ushindi feki kwa kutumia polisiccm na uchakachuaji mkubwa.
 
Watoto wa mujini wanaita U. S. E..... N..... G. E. lema ya mwanza kwa wavuvi, hii pesa si ingemalizia zile maabara za Kikwete kila Sekondari Sina uhakika kama zimeshakwisha.
 
Wale wachimbaji wa acacia hawajalipwa mafao sie tunatanya hovyo. Akili hii nadhani ni ngeni hapa mjini
 
Hii pesa ingenunua vifaa tiba pale mwananyamala ikiwa ni pamoja na kuongeza maabara nyingine kuondoa foleni ya kusubiri vipimo masaa kibao....Saa nyingine tukubali ukweli wa trump hata kama unauma. Huu ni ubinafsi Mkubwa sana wa wanasiasa linapokuja suala la maslahi yao gharama sio issue.
 
Kama mlidhani wana huruma na wanawatetea wanyonge pole yenu.Kweli Bilioni 1 inateketea kufanya uchaguzi.
 
kwa ufupi tuseme mtulia asababisha hasara ya billion moja fedha za walipakodi !!
 
Alafu mnamlaumu Trump kusema ukweli..... Tena alikosea.... Angetakiwa aseme kabisa Tanzania ni ma shithole ....
 
Anaandika Mwenyekiti wa CUF Julias Mtatiro
TUMELAANIWA!!!

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetenga bajeti ya Shilingi Bilioni 1 (Milioni 1000) FEDHA ZA WALIPA KODI MASIKINI, ili kusimamia uchaguzi wa jimbo la Kinondoni - DSM.

Serikali yetu inazo Shilingi Bilioni 1 za kusimamia uchaguzi ambao umelazimishwa na serikali hiyo hiyo ambayo imemfanya aliyekuwa mbunge kuwa bidhaa na kisha inamrejesha sokoni ili anunuliwe tena.

1 Billion ni sawa na Pikipiki 500 mpya ambazo zingeteneza ajira mpya 500 kwa vijana 500 na kuzaa faida ya shilingi Bilioni 1.44 kwa mwaka mmoja.

Shs Bilioni 1 zinaweza kununua matrekta madogo ya kilimo yapatayo 100 ambayo yanaweza kulima ekari 30,000 kwa mwaka na kuzalisha mazao yenye thamani ya mabilioni ya pesa.

Shs Bilioni 1 zinaweza kutoa mikopo ya elimu ya juu kwa vijana 220 kwa mwaka mzima, na vijana hao 200 wakaja kuzalisha mabilioni ya pesa kwenye uchumi wa nchi.

Shs Bilioni 1 zinaweza kulipa mshahara wa mlinzi kwa mwaka mzima kwenye jumla ya shule 555 nchi nzima na kwa hiyo migogoro ya shule kuchangisha wazazi pesa za walinzi ikafia hapo.

Shilingi Bilioni 1 zinaweza kuanzisha jumla ya biashara 2,000 kwa wajasiriamali 2000 wadogo ambao kila mmoja anaweza kuzalisha faida ya Shilingi 200,000 - 300,000 kwa mwezi na kwa ujumla wakazalisha Shilingi Bilioni 4.5 kwa mwaka mmoja, kama faida.

Lakini, kinchi masikini na ombaomba kama hiki cha kwetu, kimejiingiza kwenye biashara ya kununua wabunge na madiwani, na matokeo yake badala tutumie fedha za serikali kuzalisha ajira, kupanua mitaji, kukuza uchumi na kuboresha maisha ya watu wetu - tunatumia fedha hizo ili kufanyisha uchaguzi mpya ambao utapelekea wabunge wabadilishe vyama na kuingia CCM?

Mambo mengine yanahitaji akili ndogo kweli! Mngeliweza kusubiri 2020 mkanunua wabunge na madiwani wote wa upinzani. Na kati ya 2015 - 2020 mkatumia kila SENTI yenu kuzalisha ajira na kukuza uchumi. Badala yake, muda huu wa kuzalisha ajira na kukuza uchumi ndipo mnatumia fedha za walipa kodi kununua madiwani na wabunge na kurudua chaguzi.

Ikifika 2020 mtakuwa mmeumiza maisha ya familia ngapi? Mtakuwa mmewanyima vijana wangapi mitaji? Mtakuwa mmewapora vijana wangapi bodaboda? Mtakuwa mmewaua wakulima wangapi wanaolima kimasikini kwa jembe la mkono?

Wakati fulani huwa nahisi tumelaaniwa.

[HASHTAG]#Mtatiro[/HASHTAG] J.
Hatujalaniwa mkuu.kipaumbele chetu ni ccm ili iendelee kulinda nakaburi,hao wengine uliowataja acha wahangaike na hali zao wenyewe maana kama wao wenyewe hawajidhamini why sisi tuwadhamini?
 
Back
Top Bottom