Tume ya 'Operation Tokomeza' yadai Waziri Khamis Kagasheki na wenzie hawana hatia

Mbona EL hakuwahi kuundiwa Tume na Serikali ili kuchunguza zaidi ripoti ya Mwakyembe???
 
Then nani anahusika basi?

Kama hao hawahusiki, tunataka watuambie ni nani anahusika basi kwa sababu kupitia operesheni hiyo watu waliumizwa, walidhalilishwa utu wao na wengine kupoteza maisha (kufa).

Ni rahisi tu, wawe hao au wasiwe hao tunachotaka ni waliohusika na unyama huo kuwa responsible and accoutable kwa matendo yao maovu!!
 
Kama hawana hatia nani mwenye hatia? walioteswa? walioumizwa?
Hii haisaidii kitu. Kipigo October kiko pale pale. Wasubiri tu waone cha moto toka kwa waathirika! Mangalichoti
 
Mda mwingine tuwe tunaacha kubwatuka tu tena mi naomba operations kama hiyo ije tena mana matunda yake tumeyaona na tunaendelea kuyashuhudia big up sana Kagasheki,endeleeni kubwatuka tu msimamo ndo huo
 


Tanzania bana, mtu aliyewajibika kisiasa anatakiwaje kulipwa fidia????

Nakumbuka hata Jairo aliambiwa na Luhanjo kuwa amesingiziwa na alipwe fidia, baada ya kurudi ofisini na mbwembe wote tunajua kilichotokea.

Bahati mbaya sana watawala ujiona wao ndiyo wenye haki tu, manake niliona huyo Ombeni alipoulizwa kama serikali itawalipa waadhirika wa matukio hayo alisema itaangalia kama iwape kifuta machozi ama la! Ona kwa hawa mawaziri ambao waliwajibika kwa haki eti walipwe fidia!

Kwanza walipwe na nani??? na

Ni kwanini walipwe???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…