GP
JF-Expert Member
- Feb 5, 2009
- 2,049
- 160
"Applicants for entry levels currently employed in the Public Service should not apply, they have to adhere to Government Circular Na. CAC. 45/257/01/D/140 dated 30th November 2010"
AU
"Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010"
wakuu,AU
"Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba 2010"
mara nyingi tume ya ajira katika utumishi wa umma huwa wanaweka vipengele hivyo hapo juu,
sasa sijui walikua wanamaanisha nini hapa?, na hii CIRCULAR kama kuna mtu anayo basi naomba anisaidie nijionee mwenyewe.