Muarubaini
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 222
- 48
Tar 25-5 walitangaza nafasi mbalimbali, zikiwemo maafisa tawala, assistant lecturers usitawi na nyingine nyingi. Ila mpaka leo wanaitwa kwenye interview ni watendaji wa vijiji, kata na wapishi. Hizo zingine mmeshapa watoto wenu? Walalahoi tugawane utendaji wa vijiji na kata?